Actually kiukweli ndugu wa wale wa ajira za BOT ni untouchables so hatuna ujanja .., ila kwa hawa wengine wengine huku wanahimilika kabisa! hakuna sababu ya kuwaacha hata kidogo.., watolewe uvivu tu.., tena idara zote. Otherwise hii nchi tutaendelea kudumaa tu..Hembu tukumbushe walifanya nini baada ya hayo majina kutupiwa humu manake uhamiaji tumeona barua ya katibu mkuu kusitisha ajira je BOT?
Kwa wale wenye majina mengine kutoka idara mbali mbali watupie humu.., yaani unaweka surname ya alieajiriwa na yule ndugu aliefanikisha kupata ajira.., hii operesheni ni muhimu sana.., naskia BOT yalishatupiwa humu..!
Kwa wale wenye majina mengine kutoka idara mbali mbali watupie humu.., yaani unaweka surname ya alieajiriwa na yule ndugu aliefanikisha kupata ajira.., hii operesheni ni muhimu sana.., naskia BOT yalishatupiwa humu..!
Kwakweli nimefurahi sana kuona at least hatua hiyo imechukuliwa!Kwa wale wenye majina mengine kutoka idara mbali mbali watupie humu.., yaani unaweka surname ya alieajiriwa na yule ndugu aliefanikisha kupata ajira.., hii operesheni ni muhimu sana.., naskia BOT yalishatupiwa humu..!
Actually kiukweli ndugu wa wale wa ajira za BOT ni untouchables so hatuna ujanja .., ila kwa hawa wengine wengine huku wanahimilika kabisa! hakuna sababu ya kuwaacha hata kidogo.., watolewe uvivu tu.., tena idara zote. Otherwise hii nchi tutaendelea kudumaa tu..
We fikiria tu mwenyewe.., mtu ambaye jina lake linaishia na 'mamndemla' sijui.., anaweza akawa ligi moja na mtu ambaye jina lake linaishia na 'Kigoda', au 'Lowassa', au 'Mwinyi', au 'Meghi'..., actually inabidi tukubali hali halisi for now mpaka pale mageuzi tutakapoyafanya 2015..DA DON why untouchable
We fikiria tu mwenyewe.., mtu ambaye jina lake linaishia na 'mamndemla' sijui.., anaweza akawa ligi moja na mtu ambaye jina lake linaishia na 'Kigoda', au 'Lowassa', au 'Mwinyi', au 'Meghi'..., actually inabidi tukubali hali halisi for now mpaka pale mageuzi tutakapoyafanya 2015..
Hii list unataka kuniambia ndio imekamilika hapa..??!1.jabir kigoda
2.pamela lowassa...
3..
weka list yote iseee1.jabir kigoda
2.pamela lowassa...
3..
We fikiria tu mwenyewe.., mtu ambaye jina lake linaishia na 'mamndemla' sijui.., anaweza akawa ligi moja na mtu ambaye jina lake linaishia na 'Kigoda', au 'Lowassa', au 'Mwinyi', au 'Meghi'..., actually inabidi tukubali hali halisi for now mpaka pale mageuzi tutakapoyafanya 2015..
leta mkuu ahat wasipochukuliwa hatua italeta positive effect, trust me!nssf..walio pata ajira 2012 ndio balaa kabisa.
Hili jina limenikaa sana kichwani kwa sababu ni la kwanza kwenye list ile iliyotolewa na maforoo..Ulivyomtia huyo mandemla ni kama unamjua isee huyu jamaa sasa ivi yupo mamtumbo huko ni afisa uhamiaji nadhani anamrothisha mtt wake kwa dar
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji. What can you do zaidi ya kuchangia thread humu JF.
Waandishi makanjanja hata wakiandika, magazeti yatafungia kashata na nwisho na basi.
EMT si bora mie ninayemuachia Mungu, maana siwazii tena na mzigo wangu (uchungu inclusive) nimemuachia mwenye nira laini.