Aibu hii ntaificha wapi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
76,019
159,770
Niko very stressed, almost nina zaidi ya wiki sijalala kwa mawazo.
Usiku uliopita nimeamka Saa tano tu, niko macho hadi sasa.

Niko ugenini, wenyeji wamenikaribisha nipate ahueni kidogo ya msongonongo wa mawazo

Nimeamka Saa Tano kucheki gemu ya Atletico na Real Sociadad, mpaka muda huu numeua bia zote kwenye jokofu, St. Anna chupa tatu, Windhoek chupa sita, na Martin Cinzano's moja. Jokofu jeupeeee.

Tayari msichana wa kazi kaamka na kukuta makasha tupu sebuleni.
Sijui ntapata wapi liquorshop iko wazi kabla sijatia aibu Muleba hii
 
Unafakamia pombe weekdays. Si bure Msongo uko stage ya no return utaua familia. Kama unayo
 
Hahahhaaaaaaaa. Dawa ni ndogo tu

drunk.png
 
Niko very stressed, almost nina zaidi ya wiki sijalala kwa mawazo.
Usiku uliopita nimeamka Saa tano tu, niko macho hadi sasa.
Niko ugenini, wenyeji wamenikaribisha nipate ahueni kidogo ya msongonongo wa mawazo.
Nimeamka Saa Tano kucheni gemu ya Atletico na Real Sociadad, mpaka muda huu numeua bia zote kwenye jokofu, St. Anna chupa tatu, Windhoek chupa sita, na Martin Cinzano's moja. Jokofu jeupeeee.
Tayari msichana wa kazi kaamka na kukuta makasha tupu sebulebi.
Sijui ntapata wapi liquorshop iko wazi kabla sijatia aibu Muleba hii
Hehehe......mkuu umeuaaa

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom