E=mcsquared
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 236
- 40
Kwani dokta bilal ni wachama gani?
Hawa sisim wanamatatizo gani si wapige sera zao kazi kurekebisha za wenzao tuuu mbona wao wanaahadi kibao na hata moja hawataweza kutekeleza si walikuwepo na bado wapo madarakani hawa!??????
Nadhani yuko CCM, ila najua akishapata madaraka tu atabadilika na kuwa "CUF ndani ya CCM", CUF ile ya Zanzibar, siyo ya huku kwetu Bara