Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Jana; Taarifa ya Habari Radio One saa 2 na saa 4 usiku, Radio 1 walitoa Habari WB imeishauri Serikali ya Tz kubana matumizi na kuweka vipaumbele.
Ukweli ni kwamba nilijisikia aibu sana kwamba hadi wafadhili wetu, wanaotudai mamilioni ya dola (ingawa kihalisia wao wangefanya biashara kwa kuzidi kutukopesha) wanaiona Serikali yetu imejaa ubadhirifu kwa matumizi makubwa yasiyo ya lazima na kushindwa kuweka na kuzingatia vipau mbele.
Kama tungekuwa na viongozi wenye haya, ushauri huo wa WB ni udhalilishaji.
Ukweli ni kwamba nilijisikia aibu sana kwamba hadi wafadhili wetu, wanaotudai mamilioni ya dola (ingawa kihalisia wao wangefanya biashara kwa kuzidi kutukopesha) wanaiona Serikali yetu imejaa ubadhirifu kwa matumizi makubwa yasiyo ya lazima na kushindwa kuweka na kuzingatia vipau mbele.
Kama tungekuwa na viongozi wenye haya, ushauri huo wa WB ni udhalilishaji.