Ahsanteni Wananchi wa Luguruni Kibamba, kelele zenu za maji zimeleta mafanikio

mwandende

JF-Expert Member
Feb 16, 2017
10,518
19,883
Miezi kadhaa nimewahi kuleta post hapa JF,

Kuhusiana na tatizo sugu la upatikanaji wa maji ktk eneo la LUGURUNI. Hatimae Jana wanainchi waliamua kuandamana hadi kwenye ofisi za mkuu wa wilaya Ubungo kutoa ya Moyoni. Baada ya maandamano yaliyodumu Kwa saa kadhaa.

Hatimae usiku wa leo DAWASA LUGURUNI, wameamua kuachia maji Kwa wananchi baada ya miezi kadhaa kukosekana.

Pamoja na wananchi kupatiwa maji leo, Lakini bado wananchi tumepatwa na mshangao, kwamba haya maji yaliyofunguliwa leo usiku.

--DAWASA wameyatoa wapi?
Maana ilikuwa Kila engineer akiulizwa sababu za kutopata maji mnasingizia pump haipandishi maji Mlimani,

--Je haya maji yanayotoka leo tena Kwa presha kubwa hadi kujaza reserve tanks za juu tena bila kutumia pump , Maji yanapandaje kwenye matank?

Hivi kumbe ni kweli kwamba haki haipatikani hadi wanainchi waandamane?

DAWASA LUGURUNI KIBAMBA mmejivua nguo Kwa hili.

SHAME ON YOU.

Hivi kweli muweke wanainchi miezi 3 bila kutupatia maji ya bomba? Wakati maji mnayo kwenye matank yenu? Serikali ilitazame bomba la DAWASA la kibamba Kwa Mangi. Bomba hili ndy biashara kubwa ya wafanyakazi wa DAWASA LUGURUNI pamoja na wenye magari binafsi ya kuuza maji. Wapo viongozi wa DAWASA LUGURUNI ,
ambao wana miliki magari kadhaa ya kuuza maji hapa LUGURUNI.

Na wapo ambao wanahongwa pesa na wenye magari ya kuuza maji Ili wasifunguwe maji kwa wakati, Huku wanainchi wakiendelea kuteseka, wakati wao wanapiga pesa Kwa kuuza maji kwenye magari.

Bomba la DAWASA huwauzia maji sh 2000 Kwa unit 1 Kwa wenye magari ya maji, Na huku wenye magari huuzia wanainchi 20,000 Kwa unit 1. Kama sio UFISADI ni nini?

Bomba la DAWASA Kwa Mangi ndiyo chanzo cha vurugu zote za maji Kwa wananchi wa LUGURUNI KIBAMBA .
Serikali ilitazame hilli Kwa makini.,
 
Miezi kadhaa nimewahi kuleta post hapa JF,
kuhusiana na tatizo sugu la upatikanaji wa maji ktk eneo la LUGURUNI.
Eneno hilo nilishawahi kuishi, tatizo sugu la hapo ni wafanyabiashara wanaouza maji, wananchi wanateseka sana na maji wakati wao wanacheza michezo yao na wafanyakazi wa DAWASA...
 
Eneno hilo nilishawahi kuishi, tatizo sugu la hapo ni wafanyabiashara wanaouza maji, wananchi wanateseka sana na maji wakati wao wanacheza michezo yao na wafanyakazi wa DAWASA...
Hakika mkuu,tatizo ni biashara ya maji ambayo DAWASA wenyewe ndy wamiliki 70% ya magari yanayouza maji.
 
hata hapa mbezi kwa msuguri yametoka leo nimeshangaa sana maana ni muda sana hayajatoka hongera sana kwa waandamanaji.
Kote huko kuna biashara za Dawasa na magari ya maji.

Bila kelele za LUGURUNI,,
Mngeendea kuoga maji ya chumvi.
 
Ndio maana katiba inaruhusu maandamano ya amani katika kudai haki.
Kabisa mkuu,


Yaani wanainchi wanashangaa maji yametoka jana jioni hadi leo hii bado yanatoka.

Kwl watanzania tumezoeya kusukumwa.
Mtu anaamua kufunga maji ili wenzake wateseke..

Kweli kelele zinasidia sn ktk kupinga udhalimu.
 
Hiki kinachohitajika kufanywa na watz kwa umoja wetu ili kuondokana na matatizo mengi yakujitakia tunayokabiliana nayo.
Hakika kabisa.,,kelele za maandamano zinasaidia sn.

Kwa hili Dawasa wamejivua nguo,

Ni afadhali wangesubiri siku mbili tatu ,
Wakaachia maji bombani,

Lakini baada ya masaa kadhaa ya maandamano,maji yanatoka ,

Tena Kwa presha kubwa sn hadi Sasa maji bwerere bombani.
 
Miezi kadhaa nimewahi kuleta post hapa JF,

Kuhusiana na tatizo sugu la upatikanaji wa maji ktk eneo la LUGURUNI. Hatimae Jana wanainchi waliamua kuandamana hadi kwenye ofisi za mkuu wa wilaya Ubungo kutoa ya Moyoni. Baada ya maandamano yaliyodumu Kwa saa kadhaa.

Hatimae usiku wa leo DAWASA LUGURUNI, wameamua kuachia maji Kwa wananchi baada ya miezi kadhaa kukosekana.

Pamoja na wananchi kupatiwa maji leo, Lakini bado wananchi tumepatwa na mshangao, kwamba haya maji yaliyofunguliwa leo usiku.

--DAWASA wameyatoa wapi?
Maana ilikuwa Kila engineer akiulizwa sababu za kutopata maji mnasingizia pump haipandishi maji Mlimani,

--Je haya maji yanayotoka leo tena Kwa presha kubwa hadi kujaza reserve tanks za juu tena bila kutumia pump , Maji yanapandaje kwenye matank?

Hivi kumbe ni kweli kwamba haki haipatikani hadi wanainchi waandamane?

DAWASA LUGURUNI KIBAMBA mmejivua nguo Kwa hili.

SHAME ON YOU.

Hivi kweli muweke wanainchi miezi 3 bila kutupatia maji ya bomba? Wakati maji mnayo kwenye matank yenu? Serikali ilitazame bomba la DAWASA la kibamba Kwa Mangi. Bomba hili ndy biashara kubwa ya wafanyakazi wa DAWASA LUGURUNI pamoja na wenye magari binafsi ya kuuza maji. Wapo viongozi wa DAWASA LUGURUNI ,
ambao wana miliki magari kadhaa ya kuuza maji hapa LUGURUNI.

Na wapo ambao wanahongwa pesa na wenye magari ya kuuza maji Ili wasifunguwe maji kwa wakati, Huku wanainchi wakiendelea kuteseka, wakati wao wanapiga pesa Kwa kuuza maji kwenye magari.

Bomba la DAWASA huwauzia maji sh 2000 Kwa unit 1 Kwa wenye magari ya maji, Na huku wenye magari huuzia wanainchi 20,000 Kwa unit 1. Kama sio UFISADI ni nini?

Bomba la DAWASA Kwa Mangi ndiyo chanzo cha vurugu zote za maji Kwa wananchi wa LUGURUNI KIBAMBA .
Serikali ilitazame hilli Kwa makini.,
Yaan inaboa sana
 
Miaka 60 ya uhuru ila bado tunapigwa mateso ya kutafuta maji. Hii nchi kuna mahali tumeikosea
Mkuu ukiangalia kwa makini sn, matatizo mengi ya hapa nichini ni ya kutemgeneza Ili wengine waneemeke na matatizo ya wenzao.

Mfano,
Kama watu wanafunga maji bombani Ili wao wauze maji huoni ni tatizo la watu kutengeneza tatizo ?

Kama mtu anatengeneza mgao wa umeme Ili auze generetors zake inchini,
Huoni kama watu wanatengeneza tatizo?


Hii inchi inapaswa iongizwe na mtu wa aina ya mwendazake.
 
Back
Top Bottom