Ahsanteni sana Wana UKAWA! Msife moyo!

Ahsanteni sana Wana UKAWA! Msife moyo!

TeamLowassa

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
1,495
Reaction score
937
Wana UKAWA tunapata wakati mgumu sana humu JF. Hakuna mwana UKAWA mwenye uhakika na uhai wa uzi wake pindi akianzisha! Nyumba ya jirani muda wao huu kufanya watakalo humu JF.

Pamoja na magumu na yote tunayoyapitia bado tumeendelea kushikamana pamoja kuwapa magamba za uso kwenye nyuzi zao. Naamini tunafanya hivyo ili kuonyesha ulimwengu kuwa kwa sasa watanzania wamefikia kiwango cha mwisho cha uvumilivu kutawaliwa na CCM!

Tulianza na Mungu, na tutamaliza na Mungu!

Ahsanteni sana Wana UKAWA!
 
Hata huu uzi wako hautadumu.

Nimeongea na rafiki/mtani wangu wa karibu aliyeko ukawa huko kwenu akaniambia, "heri yenu ccm mnakinga dhidi ya hukumu". Nilipomwuliza kulikoni, akaniambia yeye alipigwa ban kwa kuwaambia waache kunyanyasa ukawa huku wakipendlea ccm kwa uwazi.

Eti alipowaonya, wakamfungia eti anaingilia uhuru wao.

Imani ya ccm haina uhuru aktika kutenda maovu na dhuruma. Hawa si rafiki wa ccm bali ni watumwa wetu tu. Hatuwezi kuwaamini ingawa tunafanya nao biashara kwa sababu akiwaingia mwingine kama tulivyofanya sisi, watatugeuka hawa.

Hawana maana.
 
Hata huu uzi wako hautadumu.

Nimeongea na rafiki/mtani wangu wa karibu aliyeko ukawa huko kwenu akaniambia, "heri yenu ccm mnakinga dhidi ya hukumu". Nilipomwuliza kulikoni, akaniambia yeye alipigwa ban kwa kuwaambia waache kunyanyasa ukawa huku wakipendlea ccm kwa uwazi.

Eti alipowaonya, wakamfungia eti anaingilia uhuru wao.

Imani ya ccm haina uhuru aktika kutenda maovu na dhuruma. Hawa si rafiki wa ccm bali ni watumwa wetu tu. Hatuwezi kuwaamini ingawa tunafanya nao biashara kwa sababu akiwaingia mwingine kama tulivyofanya sisi, watatugeuka hawa.

Hawana maana.

Hahahaha mwenyewe nimeshangaa kuukuta bado upo..teh teh
 
Tupo humu kama yatima,ila mwisho wangu humu baada ya uchaguzi..
Tulioupa huu mtandao umaarufu hatuheshimiwi na mods.
Jf bila makamanda wa cdm usingekuwa na umaarufu.
 
Makamanda gani mnajikunyata kama kuku alielowa??? Hebu ona mnavyolalamika kwa huruma hapa! Hivi kwa akili yenu mnafikiri hapa JF kuna wapiga kura wangapi?
 
hiii ni kweli kabisa, nimeleta uzi wangu wa tumfanyie tathimini jk kwa miaka 10, uzi huo ulikuwa na vipengele 8 vya kumtathimini JK, haujadumu umeenda kuunganishwa na uzi wa mwana ccm mmoja, aliyekuwa anasema wiki ya mwisho hii jk anaaiacha nchi katika amani, nimeshangaa sana kama ni nyuzi mbili zinazofanana

Mods hawako fair, ila jf isngekuwa hapa bila cdm na ukawa kwa ujumla isingekuwa hapa, JF inaanza kuwa kama star tv, ila wakumbuke kuna maisha baada ya uchaguzi
 
Viva Ukawa..viva Lowassa...hamna wastaarabu kama wana ukawa..xxm wanamatusi na propaganda zao hazina nyingi hazina evidence....ful mauzushi.. Na zinaachwa na mods...bado tupo hadi ushindi upatikane
 
nmeanzisha mada....Magufuli afanya kufuru...

atumia zaidi ya billion kwa siku kwenye kampen....thread imenyofolewa japo kulikuwa na source
 
Ni kweli kabisa mm huwa uzi wangu haudumu hata lisaa sijui kwa nn? Ntajitahidi kuongeoa na mods wenda ntasikilizwa.
 
Back
Top Bottom