Ahsanteni sana Wana UKAWA! Msife moyo!

Ahsanteni sana Wana UKAWA! Msife moyo!

Na umukatae na mama yako maana tangu uzaliwe mama yako ni huyo huyo hauchoki?

Fikirini sana nyie vijana bado muna safari ndefu sana na nchi hii kuliko Lowasa.

Kama hela kuleni maana ni za walipa kodi alizoiba, zinarudi kwa style ya yeye kutaka madaraka.

Na hiyo ndio njia pekee, maana Mungu kaujakaza tamaa ya URAIS moyo wa El ili hela irudi kwetu.

Kuleni deal zimehamia CHADEMA

haha una uhakika na unachokinena dada yangu? me nakushauri kiroho safi tu chukua huo ushahidi tangulia nao mahakamani LOWASSA atakukuta huko.
VIVA UKAWA!!!!
 
Makamanda hii ni vita so aluta continua.. mapambano yanaendelea... bado kidogo ushindi TENA WA KISHINDO UNAKUJA!!!
VIVA UKAWA!!!!
 
Hivi haiwezekani kuwa na forum nyingine??Hii tuwachie CCM na Mods wao?
 
Jamiiforum wanatumika,nyuzi za sheatani mwanakijiji ndo zinapewa kipaumbele.tukianzisha sie tunaambiwa zimekuwa merged..
 
Dah kweli wameuheshimu had saiv hawaja unyofoa ila kama hali ndo hi nitakuja kuaga tar 29 baada ya kumtangaza raisi mpya E.LOWASSA
 
Jamiiforums inatujengea nidhamu ya woga members tukipost mada zenye ukweli mchungu kuhusu serikali or magamba wanazinyofoa mimi ni mhanga nishanyofolewa uzi zangu kadhaa
 
Back
Top Bottom