kuna dada mmoja anaitwa sijui somebody Nkwambi aliwahi kuimba "pamoja na yote nasonga mbele, kama moto nazidi kuwasha,...Najipa moyo" Lets proceed my commanders, hii ni vita, huenda tukapambana mpaka siku tunarudi kaburini, kama vile sisi tunavyochukulia kwa uzito chama, misimamo na itikadi zetu, wenzetu pia wanachukulia hivyo hivyo upande wao! Imagine wewe ndio ungekua moderator then mtu analeta topic inayoponda ukawa, usingekubali hilo litokee, ungetafuta jinsi tu ya kupunguza makali ya uzi huo kama sio kuutoa kabisa. Ninachotaka kusema ni kwamba tusitarajie fair play from mods, tuangalie mbele, NYUMA MWIKO, narudia tena, hii ni vita! tuomber uchaguzi upite salama,, viva UKAWA! ngoja niendelee kusikiliza kibao cha king kikii Salamule!