Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,664
Hongera,kwa kutangaza biashara
daa umenikumbusha miaka miwili nyuma, nimeimiss dom, hizi na shabiby ndio zilikua gar zangu.
Jaribu na ABC ulete mrejesho hakika jamaa wamejipanga!!
Jaribu na ABC ulete mrejesho hakika jamaa wamejipanga!!
Kwahiyo sisi wa champion tunacoment wap
Mabasi yangu ya kusafiri nayo Dar-Dom ni kimbinyiko Int. na ABC classic baaaasi...
Naam...ndege za juu hatupandi wengine,.basi hata ndege za chini jomoniii...😊Maridadi sana mkuu hakuna streess
Kwahiyo sisi wa KIMOTCO tusiandike chochote hapa?
Kwahiyo sisi wa champion tunacoment wap
Hakuna Kama kimbinyiko na shabiby VIP..ABC BADO SANA LEVEL ZAKE ZA UPPER CLASS HATA CHOO NDANI HAWANAMabasi yangu ya kusafiri nayo Dar-Dom ni kimbinyiko Int. na ABC classic baaaasi...
Sa ndo uandike kwa herufi kubwaaaa....😡lione vileee....Ndio maana ndege joni🏃♀️🏃♀️🏃♀️Hakuna Kama kimbinyiko na shabiby VIP..ABC BADO SANA LEVEL ZAKE ZA UPPER CLASS HATA CHOO NDANI HAWANA
Sa ndo uandike kwa herufi kubwaaaa....[emoji35]lione vileee....Ndio maana ndege joni[emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Hahaha! Ngoja niwastiri tu nisije kuchafua hali ya hewa