kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Hayo ndio mazingaombwe yake.huku unaongeza idadi ya vyuo, huku unapunguza mikopo ya elimu. Hivi unajua mwaka huu kuna maelfu ya wanafunzi hawataweza kujiungana vyuo vikuu kwa kushindwa kujilipia ada?
NB: angalia vigezo vya kupata mkopo 2012/13