PreGE2025 Ahmed Ally: Viongozi wanapatikana kwa kadi ya kupiga kura, Watu wajiandiishe wapate haki yao ya Kikatiba

PreGE2025 Ahmed Ally: Viongozi wanapatikana kwa kadi ya kupiga kura, Watu wajiandiishe wapate haki yao ya Kikatiba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally anazungumzia maoni yake kuhusu zoezi la Uandikishaji wa Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura:

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Nawaambia Wananchi kila Mtu anayestahili ajitokeze kujiandikisha kwa kuwa hiyo ni haki ya Kikatiba, Viongozi wanapatikana kwa kadi ya kupiga kura, ili mtu upate haki ya kuchagua au kuchaguliwa ni muhimu kuwa na Kadi ya kupiga kura hilo ndilo la kwanza na la msingi.

1742566478066.png
 
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally anazungumzia maoni yake kuhusu zoezi la Uandikishaji wa Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura:

Nawaambia Wananchi kila Mtu anayestahili ajitokeze kujiandikisha kwa kuwa hiyo ni haki ya Kikatiba, Viongozi wanapatikana kwa kadi ya kupiga kura, ili mtu upate haki ya kuchagua au kuchaguliwa ni muhimu kuwa na Kadi ya kupiga kura hilo ndilo la kwanza na la msingi.
Uongo tangu 2019 kura zilikoma kutupatia viongozi, ni Tume, Polisi na TISS ndiyo wana impose watu wanaowataka wao kuwa viongozi.Inahitaji akili ya mwendawazimu kwenda kupanga foleni kupiga kura ukiamini kuwa kura hiyo itakupatia kiongozi.
 
Huyo naye ni kilaza kama wewe,yaani tutaenda hivihivi hata kama watabaki werevu watatu siyo mbaya
 
Kupiga kura? Mbona hawazungumzii uchaguzi huru na haki. Ama kweli hili ni taifa la wajinga
 
Back
Top Bottom