Ahadi za uongo kila siku zinaumiza

Ahadi za uongo kila siku zinaumiza

Uwongo una gharimu sana, na ahadi hewa siyo nzuri.
 
Moja kati ya vitu vinaavyochukiza sana ni UONGO......Kwanini unamuahidi jambo unajua dhahiri kuwa huliwezi.....au kwanini unasambaza habari za uongo kuhusu mtu fulani.....uongo una udhi, uongo una poteza muda....na wakati uongo unaweza ukaghalimu maisha yako.....bila kusahau pia uongo huleta majuto.......si vyema kumuongopea mwenzioikiwa hata wewe huufurahii uongo...........
 
Back
Top Bottom