youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Habarini Wanajukwaa.
Kama mpo mtaitikia,kikubwa hapa ninachotaka kuzungumzia ni hizi promise za uongo. Unakuta mtu unatoa promise ambayo moyoni mwako unajua kabisa huwezi ukaitimiza, then siku ikifika unaanza kudanganya.
Najua unaweza kutoa promise ya uongo kwa lengo la kufanikisha jambo flani but remember kwamba unapofanya vile unajipunguzia uaminifu kwa yule mtu.
Ebu jaribu kuweka viceveser kwamba wewe ndo umepewa ahad then mwisho wa siku inakuja kuwa ahadi hewa, utajiskiaje.
Hii nimejifunza mimi kipindi cha nyuma nilikuwa napenda sana kutoa ahadi za uongo, lakini baada ya kufanyiwa hivyo ndipo nimeona machungu yake.
Kama mpo mtaitikia,kikubwa hapa ninachotaka kuzungumzia ni hizi promise za uongo. Unakuta mtu unatoa promise ambayo moyoni mwako unajua kabisa huwezi ukaitimiza, then siku ikifika unaanza kudanganya.
Najua unaweza kutoa promise ya uongo kwa lengo la kufanikisha jambo flani but remember kwamba unapofanya vile unajipunguzia uaminifu kwa yule mtu.
Ebu jaribu kuweka viceveser kwamba wewe ndo umepewa ahad then mwisho wa siku inakuja kuwa ahadi hewa, utajiskiaje.
Hii nimejifunza mimi kipindi cha nyuma nilikuwa napenda sana kutoa ahadi za uongo, lakini baada ya kufanyiwa hivyo ndipo nimeona machungu yake.