[h=1]Mgao wa umeme ukiendelea, Simbachawene kutoteuliwa Cabinet ya Magufuli![/h]
Hii ni kauli ya mgombea wa CCM JP Magufuli kufuatia kukasirishwa na mgao huu wa Umeme unaoendelea.
Amesema kama atashindwa kuuzuia huu mgao hawezi kumteua kwenye baraza lake!. Amesema anajua wachache watamchukia lakini wengi watampenda!.
Ameahidi kuwa na baraza dogo lakini effective lenye watu makini!.
JPM ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni Arusha!.
Ajira za umma kupatikana bila mdudu anayeitwa experience!.
Pasco