kwani lowassa alituambia akishindwa uchaguzi atarudi kuchunga ng'ombe wake, je amesharudi?
kuhusu simbachawene; magufuli yaelekea alikua hajui hali halisi lakini baada ya kuelezwa na akina felichisma mramba pale tanesco imebidi abadili muelekeo.
uteuzi wa prof. muhongo kwenye gesi nimemsifu sana magufuli- sasa gesi yetu ipo kwenye mikono salama!
Ccm ni ile ile
Endelea kuota ndoto za adhuhuri wenzio washapiga we unasubiria usalama ebo!!!
Alisema uchafuzi ukiwa huru na haki.
Maana ya kurudi kijijini ni kukaa kimya kama alivyofanya. Hajafanya fujo wala kuhamasisha fujo kama Slaa na Lema walivyokua wanafanya.
Ameonyesha ustarabu.
Sisi wapenzi wake tulimwelewa na hatukutegemea kuwa ataenda porini kuchunga mbuzi.
Na hata ivyo dunia na watanzania wanajua kuwa Lowasa alishinda tena kwa kishindo.
Subirini Bunge lianze ndio mtajua nani wa kuisoma namba na nani wa kupanda na nani wa kushuka.
Mana hawa mawaziri wote waliorudi walikua wanautaka urais kwa malengo yao na Wamerudishwa baada ya kikao cha chama.
Tutaanza na kuwafuluza wote wenye tuhuma hata kama wamewekwa kwa lengo la kuikomoa kambi ya Lowasa.
kashikwa Sharubu Na akicharuka tu wanahamia ktk Vzi.Lazima atulie Tu.Haina Jinsi.Chezea Massons wewe