PostGE2025 Agustino Polepole: Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa

PostGE2025 Agustino Polepole: Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Jakaya Kivuruge kwa nini asiuwawe ?
FB_IMG_1758911940479.jpg
 
Kwa mujibu wa kaka yake Balozi Humphrey Polepole, Kanali Agustino Polepole, amesema kuwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyetoa maelekezo kwamba Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.

“Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.” Kanali Agustino Polepole, kaka wa Balozi Humphrey Polepole.
Huyu naye ni kama mwanasiasa tu.
Mdogo wake hajulikani alipo yeye anapiga mipango badala ya kutekeleza mikakati ya kumtafuta kimya kimya.

Eti anasema tarehe fulani anakuja Tz kufanya kitu kibaya.

Huo ni ubabaishaji.Kama kweli atakuja mara ya mwisho kuonekana itakuwa uwanja wa ndege.
 
Huyu naye ni kama mwanasiasa tu.
Mdogo wake hajulikani alipo yeye anapiga mipango badala ya kutekeleza mikakati ya kumtafuta kimya kimya.

Eti anasema tarehe fulani anakuja Tz kufanya kitu kibaya.

Huo ni ubabaishaji.Kama kweli atakuja mara ya mwisho kuonekana itakuwa uwanja wa ndege.

Nikimuona naona nikama jamaa kadata tuu, Hana la kufanya, Hakutegema mdogo wake atakua na mwisho wa namna hii
 
Huyu naye ni kama mwanasiasa tu.
Mdogo wake hajulikani alipo yeye anapiga mipango badala ya kutekeleza mikakati ya kumtafuta kimya kimya.

Eti anasema tarehe fulani anakuja Tz kufanya kitu kibaya.

Huo ni ubabaishaji.Kama kweli atakuja mara ya mwisho kuonekana itakuwa uwanja wa ndege.
Naona mejipanga kumtukana kila mzalendo. Mmelipwa kiasi gani kuua Watanganyika.

Elfu hamsini, laki kwa kila video ya mauaji, utesaji, utekaji?
 
Huyu bwege asitupotezee muda. Kwanza hana hizo sifa anazojitapa, amekuwa mpiga tantalila tu. Ukurasa wa H Polepole umefungwa rasmi. Maana yeye hakutaka Samia agombee urais. Sasa Samia kagombea na kaapishwa. Tunasubiri 2030 hayo mengine hayatuhusu
Inasikitisha kuona namna watanzania milivyo na sura 2. Ulipinga udhalimu wakati wa jiwe na sasa una uunga MKONO.
 
Back
Top Bottom