gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,959
- 15,886
Polepole hajapotea,tukio lilipangwa kuwatia sumu ya kuandamana na kufanya vuruguAliyepotea angekuwa mdogo wako ungeleewa hiyo pitch anayoi feel inayompa hiyo guts!!
Polepole hajapotea,tukio lilipangwa kuwatia sumu ya kuandamana na kufanya vuruguAliyepotea angekuwa mdogo wako ungeleewa hiyo pitch anayoi feel inayompa hiyo guts!!
Kwa hiyo .mmoja wa wamiliki wa kundi la wasiojulikana sasa anajulikana?Kwa mujibu wa kaka yake Balozi Humphrey Polepole, Kanali Agustino Polepole, amesema kuwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyetoa maelekezo kwamba Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.
“Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.” Kanali Agustino Polepole, kaka wa Balozi Humphrey Polepole.
Na nani?Polepole hajapotea,tukio lilipangwa kuwatia sumu ya kuandamana na kufanya vurugu
Wewe huna uchungu wowote sababu hujafiwa na ndugu kwa kufumuliwa ubongo na risasi wala hujapotelewa na ndugu hakuna ndugu yako yoyote alietekwa, pika ule ukanye utawaze, subiri wenye uchungu na ndugu zao wafanye yaoYani huyu hata hayuko serious na issue ya ndugu yake. Approaches zake sizielewi kabisa. Ukishajirekodi hivi sasa ndio itasaidia Humphrey kurudi? Halafu unatoa maneno yoooote. Ni kama Polepole na yeye. Alikuwa anaongea kwa kujiamini na kutuaminisha hawawezi kumgusa kumbe yuko Ununio! Bora hata angekuwa anatoa mabaya /udhalimu wa hii serikali kama kutia wananchi hasira, na si hizi sarakasi zake za kitoto.
...Huyu jamaa namuona atakuja kufanya jambo ambalo watu watashika vichwa.
Sasa na wewe Majebere una maslahi gani na wanamtandao mpakq uwe upande wao,uchawa wa akina mwashambwa ni mzigopumbavu tu hutu jamaa.
Nadhani ana uchungu mwingi moyoni kumpoteza mdogo wake katika mazingira kama yale na kwa kutumia mabavu ya madaraka. Binafsi namuelewa sana hali anayopitia sio rahisi vinginevyo ni vigumu sana kuamini na kujipa matumaini kwamba Polepole bado yuko hai!! Hii binafsi mimi kama mimi nimeshakata tamaa na ndiomaana namuelewa broKwa mujibu wa kaka yake Balozi Humphrey Polepole, Kanali Agustino Polepole, amesema kuwa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ndiye aliyetoa maelekezo kwamba Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.
“Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa.” Kanali Agustino Polepole, kaka wa Balozi Humphrey Polepole.
Na hio ya mama yako mla damu aliezaa shoga anaejitangaza mitandaoni kwamba anafirwa au sio?Haiwezi kuizidi familia ya kishetani na kiwendawazimu, kama hiyo ya kwako.
Kuna watu hawaelewi hilo sababu hawajayakuta kwa hio wanachukulia poa tu ... yaan poa tu sababu wao hayajawakuta mpaka hapo walipo ila yakiwakuta wataelewa jamboNadhani ana uchungu mwingi moyoni kumpoteza mdogo wake katika mazingira kama yale na kwa kutumia mabavu ya madaraka. Binafsi namuelewa sana hali anayopitia sio rahisi vinginevyo ni vigumu sana kuamini na kujipa matumaini kwamba Polepole bado yuko hai!! Hii binafsi mimi kama mimi nimeshakata tamaa na ndiomaana namuelewa bro
Hivi bado mnaamini hii propaganda?yaani mtoto wa rais auze unga?haingii akilini hata kidogo ...rais ambae hazina yote ya nchi ipo mikononi mtoto wake auze unga? Big noSafari ya China ilihusu kwenda kumtoa Ridhiwani jela baada ya kudakwa na madawa
Kwa zile tweet za dully mawe inawezekana atauza ata NDOGO kabisa ata awe mtoto wa yesuHivi bado mnaamini hii propaganda?yaani mtoto wa rais auze unga?haingii akilini hata kidogo ...rais ambae hazina yote ya nchi ipo mikononi mtoto wake auze unga? Big no
Huyu ni part ya plan Yao!!!Kama kuna plans wanafanya kwa nini anazianika nje?
Sidhani!!watashika vichwa
Je hii familia tuiweke kundi gani mwalimu kilaza?Hii familia ya polepole ni familia ya kipumbavu sana
Siku hizi Kuna vituko police anaogopewa kuliko mwanajeshi Kuna mwanajeshi kaitwa kituo Cha police kawashwa vibao da JWTZ wamekuwa waganganjaa