PostGE2025 Agustino Polepole: Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa

PostGE2025 Agustino Polepole: Kikwete alisema Humphrey Polepole aendelee kushikiliwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Pole pole alishikwa Kizembe kwa kiburi cha kujionyesha, alikuwa anafanya Nini Tanzania?

Lazima angeshikwa tu, alifanya uzembe mwenyewe, na ale ujinga wake mwenyewe.
Alikuwa anajiona un touchable. Karma is a bitch. Kama na yeye alihusika na matukio ya watu kutekwa katika serikali ya mwendazake basi amelipia karma yake
 
Lakini haiwezi kuwa mbadala wa juhudi za waTanzania kujikomboa. Aongeze nguvu alipo na uwezo napo; waTanzania tutaubeba mzigo mzima wa ukombozi wetu kwa damu zetu wenyewe.

Tusiweke matumaini kwa mtu; matumaini yetu ni kwa juhudi zetu sote; kila mmoja kwa kadri awezavyo.

Tutakosea sana tukimtegemea mtu au kundi la watu wachache kutufanyia kazi, ambayo ni yetu sote.
Ni kweli umoja ni nguvu.
 
Back
Top Bottom