atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,545
- 9,774
Omba mzigo umtafune then uone kama ataendelea kukuogopa
Nimesoma yote mstari kwa mstari. Hakuna uliposema japo umejibu kuwauliza jamaa zake wa karibu sana sana umejistukia watu watakuelewaje. Huwa sikurupuki mzeeHii inatokana na kutokusoma thread vizuri mkuu soma kwanza thread vizuri mkuu mwanzo mpaka mwisho
Kweli kaka ila kunakitu umeshindwa kujiongeza nimesema niko na mda mrefu namjua ila ckuwahi kumuongelesha wala yeye kuniongelesha inamaanisha hatuna ukaribu wa namna yeyote sasa kam sina ukarib na yeye nitawezaje kuw na ukaribu na,marafiki zake au familia yake ndiyo maana nimekuja j/forums kwa kua najua kunawatu wanamawaz mapan kuhusu hili wanisaidie mkuu kutokana kule unaposemea sina,wa kumweleza hili mkuuNimesoma yote mstari kwa mstari. Hakuna uliposema japo umejibu kuwauliza jamaa zake wa karibu sana sana umejistukia watu watakuelewaje. Huwa sikurupuki mzee
Hawa mademu ni watu wa ajabu sana,hapo anajishtukia hyu jamaa miaka yote hata kuniambia mambo hakuna so anajihisi yuko mapungufu fulani ambayo ww umeyaona kwake,hebu gonga huo mzigo kwanza then utaleta mrejeshoMkuu ni kweli unachokiongea??
Hawa mademu ni watu wa ajabu sana,hapo anajishtukia hyu jamaa miaka yote hata kuniambia mambo hakuna so anajihisi yuko mapungufu fulani ambayo ww umeyaona kwake,hebu gonga huo mzigo kwanza then utaleta mrejesho
kama ina make sense mkuu!!!Nahisi unataka tuseme anakupenda,,mi naona mnapendana. Oanenihuwa
hahaaaSisi wenyewe huku tunakuona wa ajabu
kweli aiseeeeMiaka 15 hamjawahi ongeleshana,,hata salamu?? Mi kwa harakaharaka naweza Sema inawezekana anahisi we ni jini,,
Miaka 15? Hata mi ningekuogopa
Duuh sawa mkuu nitalipa nafasi hilo mkuu thanksMmoja kati yenu either wewe au uyo du co mtu mzur na anaweza kua mchawi so kama ni ww hicho ndo chanzo cha kukuogopa inabid ujitahid kujiepusha nae zaid na kama co ww ni yeye yaan hapo jitahid kujiepusha nae mconane ikiwezekana hama kabsa sehem hyo
Hapana mkuu matokeo mabaya huwa siyo mazuri ndiyo maana ushauri na kufikiri huwa ndiyo majambo ya kwanza kabla ya kutendawewe naye type yake! unakuja kwa wanajf bila kuonyesha nini umekifanya baada ya kugundua hali yake! pambana na hali zenu wote ni walewale