Agh it sucks wakuu

Agh it sucks wakuu

OHB11

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
573
Reaction score
1,338
Wakuu niko na tatizo kubwa ama dogo kwa upande mwingine kuna dada mmoja anaishi nje kidogo ya mtaa wetu ni kama nyumba ya 15 au 20
Ni longtime ni miaka takriban 10 au 15 niko namjua ila sikuwahi kumuongelesha wala yeye kuniongelesha then ni mkubwa kidogo kuliko mimi sasa kunatatizo limezuka lina kama 2 months yule dada bhana tukikutana uso kwa uso ananiogopa kinoma anaweza badili hata njia,, kwa mtindo huo umenifanya hata mimi pia kumkalia mbali zaidi!! sasa kibaya zaidi hii tabia ya kuniogopa huionesha hata mbele ya wazazi wake pindi anaponiona ki ukweli wakuu inanipa wakati mgumu kufikiri ni kwasababu gani inakua hivi au wazazi wake na jamii kiujumla watanichukuliaje yani sijaelewa hali ya kuwa hatuna any kind of relation or communication

So wakuu nilikua naomba mnishauri hili linatokana na nini??? Mimi nimefikiria nimeshindwa
Na nini nifanye wakuu maana inakua ngumu kiasi??"
 
Miaka 15 hamjawahi ongeleshana,,hata salamu?? Mi kwa harakaharaka naweza Sema inawezekana anahisi we ni jini,,

Miaka 15? Hata mi ningekuogopa
 
Kwanini mkuu?? labda unaweza kudadavua na mimi nikaona huo udhaifu mkuu
Yaani wewe anaekumbia unamfahamu, rafiki zake unawafahamu, ndugu zake unawafamu... Alafu unakuja kutusumbua sisi tusiomfahamu. Is this fair? Yani ww wa ajabu sana
..
 
Miaka 15 hamjawahi ongeleshana,,hata salamu?? Mi kwa harakaharaka naweza Sema inawezekana anahisi we ni jini,,

Miaka 15? Hata mi ningekuogopa
Duuuh!! aisee me sio mtu ninayependa sana kujipendekeza kwa wasichana hasa wa mtaa mmoja au wa pili so hata kutoaga salam huwa kwa wale nilio karibu nao kias alaf then suala la sio mimi tu hata yeye angeweza fanyq hivyo
 
Yaani wewe anaekumbia unamfahamu, rafiki zake unawafahamu, ndugu zake unawafamu... Alafu unakuja kutusumbua sisi tusiomfahamu. Is this fair? Yani ww wa ajabu sana
..
Hii inatokana na kutokusoma thread vizuri mkuu soma kwanza thread vizuri mkuu mwanzo mpaka mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom