Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,375
- 17,699
WanaJF, Mimi nasikitishwa na hii television ya ATN. Kwanza kabisa ile ni chanel ya mambo ya dini,lakini kwa tamaa yao ya pesa wamebidi waingie mikataba ya kishetani,kwa mfano wanapoomba kuonyesha mashindano makubwa kama Uefa champions league,mashindano ambayo yanadhaminiwa na kampuni ya kutengeneza pombe hii manake nn? Mimi naamini kabisa shughuli zote za michezo na burudani ni vitengo vya shetani. Pili, wanacho niuzi zaidi wamekuja na kingamuzi chao wanachokiita "TING' Wanatunyima haki ya ligi ya mabingwa ulaya,mpaka uwe na kingamuzi chao,ambapo hawana mtandao kwa mikoani. Huku ni kutunyima haki na kama wameshindwa wauze haki zao za kuonyesha ligi hiyo kwa chanel nyingine.