Afya Ya Mengi Ilianza Kuzorota 2017

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,534
8,619
Maneno mengi yanaongelewa Lakini ukweli ni kuwa stroke ya kwanza iliyoyumbisha afya ya Mzee ilitokea mwaka 2017 kwa sababu kuu mbili , kama mnakumbuka nikipindi hicho wafanyabiashara wengi akiwamo Mzee Bakhressa walipata msukosuko yeye akiwa mmoja wao , na wengine kama Mzee Mellou Mrema nk

Yeye pia alipata usumbufu Sana kwenye biashara zake ikiyopelekea kufunga migodi yake .

Zaidi yeye aliendelea kundamwa kutokana na kuwa na IPP Media ambayo ilikua imejikita kwenye utoaji habari bila kuogopa hii ilinsababishia usumbufu mkubwa Sana hata wa kupigiwa simu na kufokewa pale vyombo hivyo vilipoandika habari ambayo haikupendeza wakubwa

Ilumbukwe wako wafanyabiashara wengi wamekua wakipitia wakati mgumu sana wengine wako ndani ; wamefilisika; wanejiuwa; wana stroke na wamehama nchi au kuacha biashara .Tuwaombeee wote


Mungu ampe pumziko la Milele Amina
 
Sababu hasa ya kusumbuliwa mbali na hiyo ya IPP Media ni zipi?
nimesema mara nyingi hapa kuwa huyu mzee tra walimgeuka.
aliingiza mitambo ya kisasa ya kuchakata habari na kwa vile ilikuwa ya gharama kubwa alikubakiana na tra awalipe kodi kwa awamu huku akiendelea kutumia.
Kilichotokea;
1. Alikuta moja ya mtambo ameingizwa mjini, hauna kiwango alichokusudia
2. Tra walimvamia na kumtaka alipe zote la sivyo wanauza mitambo yote.

Ndipo alipatwa na mshtuko kiasi cha kupata stroke.
 
Maccm ndo yalimuharras mzee mpaka yakawa yanamzomea pale lumumba bashite nae akamtuhumu kua haonekani kwa itv miaka mingi bas ikawa hofu tupu itv mpaka kuna kipind kwa uoga tu wakajipiga ban wenyewe kisa walitoa taarifa ya kumkosoa jiwe ccm ni mashetani kabisa
 
Maneno mengi yanaongelewa Lakini ukweli ni kuwa stroke ya kwanza iliyoyumbisha afya ya Mzee ilitokea mwaka 2017 kwa sababu kuu mbili , kama mnakumbuka nikipindi hicho wafanyabiashara wengi akiwamo Mzee Bakhressa walipata msukosuko yeye akiwa mmoja wao , na wengine kama Mzee Mellou Mrema nk

Yeye pia alipata usumbufu Sana kwenye biashara zake ikiyopelekea kufunga migodi yake .

Zaidi yeye aliendelea kundamwa kutokana na kuwa na IPP Media ambayo ilikua imejikita kwenye utoaji habari bila kuogopa hii ilinsababishia usumbufu mkubwa Sana hata wa kupigiwa simu na kufokewa pale vyombo hivyo vilipoandika habari ambayo haikupendeza wakubwa

Ilumbukwe wako wafanyabiashara wengi wamekua wakipitia wakati mgumu sana wengine wako ndani ; wamefilisika; wanejiuwa; wana stroke na wamehama nchi au kuacha biashara .Tuwaombeee wote


Mungu ampe pumziko la Milele Amina
Hii taarifa yako imejikita katika kutafuta manufaa kisiasa, Wewe ni mhuni na mgonjwa wa siasa kwako kila tukio ni fursa ya kufanya politics.

Hebu acha watu waomboleze na wamzike mzee wao kwani alotenda kwa familia, jamii na nchi ni makubwa na yanaongea yenyewe. Hatutaki taarifa za kuumba umba hapa ziondoe watu kwenye maombolezo
 
Tafadhali ongeza nyama yeleweke. Hapo baado... unasema stroke. 2017...bado hakuna muendelezo
 
Maneno mengi yanaongelewa Lakini ukweli ni kuwa stroke ya kwanza iliyoyumbisha afya ya Mzee ilitokea mwaka 2017 kwa sababu kuu mbili , kama mnakumbuka nikipindi hicho wafanyabiashara wengi akiwamo Mzee Bakhressa walipata msukosuko yeye akiwa mmoja wao , na wengine kama Mzee Mellou Mrema nk

Yeye pia alipata usumbufu Sana kwenye biashara zake ikiyopelekea kufunga migodi yake .

Zaidi yeye aliendelea kundamwa kutokana na kuwa na IPP Media ambayo ilikua imejikita kwenye utoaji habari bila kuogopa hii ilinsababishia usumbufu mkubwa Sana hata wa kupigiwa simu na kufokewa pale vyombo hivyo vilipoandika habari ambayo haikupendeza wakubwa

Ilumbukwe wako wafanyabiashara wengi wamekua wakipitia wakati mgumu sana wengine wako ndani ; wamefilisika; wanejiuwa; wana stroke na wamehama nchi au kuacha biashara .Tuwaombeee wote


Mungu ampe pumziko la Milele Amina
Alaaniwe Kikwete aliyetuachia janga hili. Hivi kweli nchi hii tukikosa watu wenye akili timamu kuiongoza?
 
nimesema mara nyingi hapa kuwa huyu mzee tra walimgeuka.
aliingiza mitambo ya kisasa ya kuchakata habari na kwa vile ilikuwa ya gharama kubwa alikubakiana na tra awalipe kodi kwa awamu huku akiendelea kutumia.
Kilichotokea;
1. Alikuta moja ya mtambo ameingizwa mjini, hauna kiwango alichokusudia
2. Tra walimvamia na kumtaka alipe zote la sivyo wanauza mitambo yote.

Ndipo alipatwa na mshtuko kiasi cha kupata stroke.

Ni kweli wakati Huo ndio ilikua afunge hiyo Guardian ltd ; na nyingine zikiwa kwenye hali Mbaya
Pia kuna hilo suala la kufunga migodi

Kuna watu anataka kutupeleka kwenye siasa kwenye hii topic ; pengine wanajihisi tu .. hii haihusiani kabisa na siasa bali ndio ukweli halisi.

Mimi sijaongelea kifo chake bali nimeongelea maswahibu aliyopita kibiashara kutokana na harassment ; na hili sio geni na yeye sio wa kwanza wako wengi tu Sasa Hivi wamefilisika , wako jela ; wako takukuru ; wako na stroke na hata waliojinyonga na kujipiga risasi


Sababu halisi ya kifo chake ni ya Kitabibu .
 
Maneno mengi yanaongelewa Lakini ukweli ni kuwa stroke ya kwanza iliyoyumbisha afya ya Mzee ilitokea mwaka 2017 kwa sababu kuu mbili , kama mnakumbuka nikipindi hicho wafanyabiashara wengi akiwamo Mzee Bakhressa walipata msukosuko yeye akiwa mmoja wao , na wengine kama Mzee Mellou Mrema nk

Yeye pia alipata usumbufu Sana kwenye biashara zake ikiyopelekea kufunga migodi yake .

Zaidi yeye aliendelea kundamwa kutokana na kuwa na IPP Media ambayo ilikua imejikita kwenye utoaji habari bila kuogopa hii ilinsababishia usumbufu mkubwa Sana hata wa kupigiwa simu na kufokewa pale vyombo hivyo vilipoandika habari ambayo haikupendeza wakubwa

Ilumbukwe wako wafanyabiashara wengi wamekua wakipitia wakati mgumu sana wengine wako ndani ; wamefilisika; wanejiuwa; wana stroke na wamehama nchi au kuacha biashara .Tuwaombeee wote


Mungu ampe pumziko la Milele Amina
Mkuu kila kiumbe kitaonja mauti,unataka kusema chanzo chake ni tawala zetu?
Jambo usiolijua ni sawa sawa usiku wa giza.Tuache kutania magonjwa.
 
Hii taarifa yako imejikita katika kutafuta manufaa kisiasa, Wewe ni mhuni na mgonjwa wa siasa kwako kila tukio ni fursa ya kufanya politics.

Hebu acha watu waomboleze na wamzike mzee wao kwani alotenda kwa familia, jamii na nchi ni makubwa na yanaongea yenyewe. Hatutaki taarifa za kuumba umba hapa ziondoe watu kwenye maombolezo
Hawa jamaa ni wapuuzi sana.
 
Ngoja ushuhudie maneno ya unafki msibani leo na alhamisi.

Mimi nimependa statement ya Mzee Mkapa Kasema wazi kuwa Mzee Mengi alikua critic wake kwenye mambo Mengi ya kisera (hasa suala la uwekezaji) Lakini alimchukulia very positive na alimtafuta kwa ushauri
Hakutaka kusema kuwa it was a smooth ride with him ;na at no point alighasi wafanyabiashara na wawekezaji
 
Lakini kusema ukweli mzee wetu alitakiwa kupumzika muda mrefu. Sijui kama alikuwa analazimisha ama analazimishwa? Kupanda ndege kwa muda mrefu kwa hata sisi watoto wake ambao miili haijaanza kuuma inachosha hata kama ni first class. Hata kwenda kwenye vyombo vya habari na mikutano mikubwa wakati afya yako inaonekana wazi kuwa siyo nzuri, kwa mawazo yangu haikuwa vizuri. Sijui watu wake wa karibu waliyaonaje haya.
Sasa mgonjwa wa stroke umpeleke Zanzibar wiki hii wiki ijayo Dubai. Kuanguka akiwa peke yake ilhali yeye ni married man tena yuko holiday na mkewe.
 
Back
Top Bottom