Dhamana ya nn? Huyu hatari kuliko kina ponda na uamsho tusifanye mchezo na usalama wa nchi
Kama kina ponda wamenyimwa dhamana tena mahakamani huyu anaweza kuzuiwa kutumia sheria ya ugaidi hapa inafaa
Tusiwe double standard tuhuma ni nzito na zinahusu uhai wa watu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Huyo shekhe angetoa maagizo ya kuwadhuru viongozi wa serikali angekuwa ameshakamatwa siku nyingi.Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
Huyo anatakiwa afie huko huko asitoke watu walikuwa wanashabikia hapa Masuala ya akina shekhe Ponda leo yamewafika wanaanza kulia lia, Ugaidi na dhamana wapi na wapi?
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
Tumuombe uzima na salama, maana mahabusu za polisi wetu na baadhi ya mbinu chafu za mahojiano, Mungu bariki Rwakatare sio tuu ni public fugure, bali pia anazijua hakizake mikononi mwa polisi!, angekuwa ni mwenzangu za mimi, saa hizi angekuwa umekwisha sema kila kitu!.
Pamoja na yote, mimi nimeiangalia clip ile na kujiridhisha ni "bonafide genuine!".
Pasco.
Agosti mwaka jana Shehe ILUNGA katoa maagizo wakristo wauawe!... Leo anapeta!... kwa SABABU tu anatoka dini ya wakubwa wa nchi!.. Lwakatare (mkristo) kakamatwa waislamu mnashangilia!.
Panya wa Pemba wanakutendea haki kwa kukupuliza kisogoni kwani inaoonyesha wazi kabisa wewe ni ------nyaji na ndo maana unaongea upumbavu wako.
Kweli Chadema mmebanwa unakumbuka hadi mwezi! Mzimu wa Chacha wangwe una waandama
Nashangaa kuona watu wana mpinga Pasco kwa kusema video ya lwakatare ni genuine and at the same time wao wanataka tuamini kuwa video imetengenezwa kwa vigezo vyao ili hali na wao hawana ujuzi ktk video foreinsic.
Kama tunataka haki itendeke tuliachie jeshi la polisi limuhoji lwakatare juu ya kile alicho kizungumza kwenye video.
Wote Magaidi,ngoja Gaidi namba moja Lwakatare ashugulikiwe atafuata huyo Ilunga
Kama alijua ana kisukari angeepuka kujiingiza kwenye ugaidi.
Mkuu Capiteni Tamari, kuhusu "bonafide genuine" only time will tell!. Hili la "ukurupukaji", naomba nilihifadhi, maana baadhi ya "wakurupukaji" wa ukweli, ni watu tunaowaheshimu, na wana daraja za juu sana katika jamii!.
hayo mengine, "wewe wasema!".
Pasco.
Lazima utabaki CDM,si ndio inayo kulisha.Mimi niko tayari kuwa chadema hata watanzania wote wakikihama! Nimeshoshwa na upuuuzi wa baadhi ya watanzania! Wanachezeshwa na CCM kama midoli! Shame on you!
Mbona baadhi ya wachangiaji wamerudisha mada kwenye udini? Kuna watu hawawezi kabisa kuwa na mawazo huru ni lazima wafungwe kwenye minyororo ya udini. Akili ndogo.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Lazima utabaki CDM,si ndio inayo kulisha.