Afya ya akili ya Robert Mugabe iko sawa ?

Kuna kiongozi kama Mugabe kwa jina Habib Bourguiba ambaye alitawala Tunisia kutoka mwaka 1957 mpaka 1987. Mwaka 1975 alijitangaza kuwa ni Rais wa maisha wa nchi hiyo ya Tunisia. Kutokana na kuwa na umri mkubwa ilibidii kwa ushauri wa madaktari aondolewe kwenye madaraka na nafasi yake ikachukuliwa na Waziri Mkuu Zine El Abidine.
Rais huyo Habib Bourguiba aliwekwa kifungo cha nyumbani mpaka mwaka 2000 alipofariki akiwa na umri wa miaka 97.
Sasa nashindwa hawa wazimbabwe na elimu yao wanashindwaje kumuondoa Rais Mugabe kwenye madaraka.
 
Nilidhani aliejinadi anaenda Zimbabwe alienda kumng'oa kumbe ni wimbo tu? ???
 
Hatusikii ukosoaji kama huu kwa malkia wa uingereza ambaye naye umri umemtupa mkono.

Kawaida yetu kwa waafrika.
 
Hivyo ndivyo madaraka yanavyo- corrupt akili hadi nchi nzima unaiona kama kale kanyumba kako tu.!

Zimbabwe haitabaki kama ilivyo sasa, kuna uwezekano mapinduzi yakaja yakatokea pale Mugabe atakapotaka kumrithisha mkewe ofisi au Zimbabwe ikaingia ktk bitter political crisis ever.
 
Sasa ni dhahiri akili ya Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anayekaribia miaka 100 tangu kuzaliwa kwake imepungua , nadhani ni kutokana na umri mkubwa na maradhi ya uzee yanayomuandama.

Kitendo chake cha kusikiliza ushauri wa mke wake na kumtimua kazi Makamu wake wa Urais Mnangagwa si tu kinadhalilisha Zimbabwe na Africa nzima , bali kinawadhalilisha watu wote weusi popote walipo duniani .

Haiwezekani nchi yenye watu wasomi kama Zimbabwe kukubali kuendelea kuongozwa na mtu mwenye dalili za ugonjwa wa akili kama Mugabe , huyu mzee anatakiwa kung'olewa madarakani kwa njia ya amani ili kuepusha aibu zaidi kwa waafrika .
............................................................

Updates - Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Zimbabwe amekimbia nchi hiyo kwa kuhofia usalama wake .
7fffcd639d461f22bc5bcff463341116--inspirational-tattoos-quotes-tattoos-for-women-quotes.jpg
 
Leo...nilikuwa nasikiliza idhaa ya kiswahili Dw Bonn katika kipindi cha maoni meza ya duara,maada ikuhusu utawala wa mzee wetu Robert Mugabe.

Kwa maelezo yakina inaonekana mzee kajiimalisha vilivyo,upande wa jeshi kalishika vilivyo,wanautii mkubwa kwa mzee huyu japo huyu makamu wake wa uraisi aliyekimbilia south Africa ameacha kidogo mpasuko,Kuna watu wanaunga mkono uamuzi wa Mugabe Kuna watu wanaupinga hasa ndani ya chama chake tawala(Zanu-Pf.)

Sasa mzee anataka apigilie msumari wa mwisho katika jeneza kwa kumuweka mkewe kipenzi Grace Mugabe awe raisi wa Zimbabwe ajaye.....magube aliwabana wapinzani wake wengi ambao wengine wako uhamishoni wakiendeleza kampeni za kuupinga utawala wake.


Sasa cha kushangaza Sijui ni Elimu ndogo au ujinga wa baadhi ya wanaanchi wa Nchi nyingi za Africa..wananchi maskini wa kipato cha chini sana na haswa wa vijijini bado wanamatumaini makubwa na mzee huyu Robert Mugabe kwamba atawafanyia Mambo mazuri zaiidi huku uchumi umesinyaa na rushwa,njaa imetapakaa Nchi nzima..gezo chao kwamba mzee aliweza kuwapa umiliki katika ardhi na mashamba.


Vijana wa Zimbabwe wamemuchoka mzee huyu hali ngumu ya maisha inawachachafya vilivyo lakini hawana namna ya kumuondoa kwa sababu kashaziba mianya yote ya kumuondoa madarakani,hivyo kilicho baki wanaomba tu atoke madarakani amuachie yoyote yule Zimbabwe.


Nami nasema... Mugabe Sasa yatosha,Jiuzulu.
 
Mugabe sasa anatia aibu. Na mpango wake ni kumpa uVP mkewe ili mwisho wa siku amwachie Nchi. Wazimbabwe ni mazwazwa kwa kweli. Ndio maana walikuwa wametawaliwa mpaka 80s
 
Wanajiatmbua nini badala ya kumkabili wanakimbia??
Mkuu.
Wacha kabisa mtu akiwa dikteta ni hatari.
Japo wakati mwingine unaweza kusema raia ni waoga wamapinduzi kwa huyu mzee..

Dikteta ni jina baya sana linabeba mengi...mzee kabana kila uchochoro wa watu/upinzani kumuondoa,hivyo inahitajika njia ya ziada kweli kweli kama ni soka tunaweza kusema mzee kabana kila namba uwanjani Sasa goli unamufangaje...?


Labda kilichobaki ni watu wajitoe muhanga kama bwai na iwe bwai au kama noma na iwe noma(kaka man)
 
Sasa ni dhahiri akili ya Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anayekaribia miaka 100 tangu kuzaliwa kwake imepungua , nadhani ni kutokana na umri mkubwa na maradhi ya uzee yanayomuandama.

Kitendo chake cha kusikiliza ushauri wa mke wake na kumtimua kazi Makamu wake wa Urais Mnangagwa si tu kinadhalilisha Zimbabwe na Africa nzima , bali kinawadhalilisha watu wote weusi popote walipo duniani .

Haiwezekani nchi yenye watu wasomi kama Zimbabwe kukubali kuendelea kuongozwa na mtu mwenye dalili za ugonjwa wa akili kama Mugabe , huyu mzee anatakiwa kung'olewa madarakani kwa njia ya amani ili kuepusha aibu zaidi kwa waafrika .
............................................................

Updates - Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Zimbabwe amekimbia nchi hiyo kwa kuhofia usalama wake .

Ndugu yangu japo nakubaliana na ww 100% lakini ujue waafrica wengi bado wapo kwenye evolution toka unyani nyani kuwa viumbe wanadamu wenye akili timamu wenye kuweza kufikiri sawa sawa.

Ukishangaa ya Mugabe itabidi ushangae hata ya huyu hapa kwetu maana mugabe anayoyafanya yanasababisha na umri wake. Huyu hapa kwetu yanasababishwa na nn?

Evolution kwa waafrica wengi itakamilika miaka 200 ijayo. Kwa sasa tuendelee kuvumilia
 
Ndugu yangu japo nakubaliana na ww 100% lakini ujue waafrica wengi bado wapo kwenye evolution toka unyani nyani kuwa viumbe wanadamu wenye akili timamu wenye kuweza kufikiri sawa sawa.

Ukishangaa ya Mugabe itabidi ushangae hata ya huyu hapa kwetu maana mugabe anayoyafanya yanasababisha na umri wake. Huyu hapa kwetu yanasababishwa na nn?

Evolution kwa waafrica wengi itakamilika miaka 200 ijayo. Kwa sasa tuendelee kuvumilia
Andiko lako limenifanya nijute kuzaliwa mwafrica !
 
Back
Top Bottom