Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,149
- 2,784
JF katika ubora wetuBora hata huyo anasikiliza ushauri wa mke wake, yupo mmoja hivi yeye hasikii la mtu yeye anaendeshwa na mizuka yake tu
JF katika ubora wetuBora hata huyo anasikiliza ushauri wa mke wake, yupo mmoja hivi yeye hasikii la mtu yeye anaendeshwa na mizuka yake tu
Muda sio mrefu utarudi na updates wa Uzi wako: Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Zimbabwe aapishwa kuwa Rais mpya wa Zimbabwe chini ya ulinzi mkali wa jeshi.Shukrani sana kwa Wazimbabwe kuamua kuyafanyia kazi maoni yangu , sikufahamu kama JF ina ushawishi mkubwa kiasi hicho .
Asante Mungu kwa kuondoa Mzimu wa siku nyingi barani Africa .Muda sio mrefu utarudi na updates wa Uzi wako: Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Zimbabwe aapishwa kuwa Rais mpya wa Zimbabwe chini ya ulinzi mkali wa jeshi.
Dummy figure. Hana power ya kufukuza yeyote. Tofauti kubwa sana na comrade MugabeHatusikii ukosoaji kama huu kwa malkia wa uingereza ambaye naye umri umemtupa mkono.
Mungu ibariki JF , Mungu ibariki Zimbabwe.You were correct