Imagin sijui mama huyo au dada jinsi alivyonenepeana ovyo , je mafuriko kama yaliyotokea Dsm angesalimika?
Bt jibu unalo mwenyewe. Sawa mwili unajengwa kwa chakula bora, lakini huyo kazidi sana. Kwanza mazoezi yenye hafanyi halafu anakula kama yuko mashindanoni.
Imagin sijui mama huyo au dada jinsi alivyonenepeana ovyo , je mafuriko kama yaliyotokea Dsm angesalimika?
Bt jibu unalo mwenyewe. Sawa mwili unajengwa kwa chakula bora, lakini huyo kazidi sana. Kwanza mazoezi yenye hafanyi halafu anakula kama yuko mashindanoni.
.....................na kama ana JAMAA shughuli anayo NA si ya KITOTO
View attachment 43970View attachment 43969
Nani kakwambia mwili unalindwa kwa MAPANGA? au kujengwa kwa TOFALI????????????????????
Jameni huyu dada kushoto anatafuta wa Kum-pet pet