Afrodenzi Mmmhhhh......Afrodenzi

Afrodenzi Mmmhhhh......Afrodenzi

Mh mmh.......am on my way to your pad you know!

Cheap+Birthday+Gifts+For+A+Girlfriend.jpg
 
Hivi bado huwa wanapiganiwa hawa watu kwa magumi kweli?!!
Mautundu tu, jinsi ya kupika rosti la samaki nchanga, supu ya ukwaju na kachumbari.
Wabara kwa mingumi, punguzeni kula ugali mgumu.

thats not for him (TB) bana, it was for you Birthday Princess
Mie sitaki magumi na Kongosho.
Sorry kwa kuweka vibaya.
 
He is in delicious agony and pain.
After a heavy match......lol

Hivi bado huwa wanapiganiwa hawa watu kwa magumi kweli?!!
Mautundu tu, jinsi ya kupika rosti la samaki nchanga, supu ya ukwaju na kachumbari.
Wabara kwa mingumi, punguzeni kula ugali mgumu.
Kuna magimbi nafikiri yale ndiyo yanafaa haswa
 
Hivi bado huwa wanapiganiwa hawa watu kwa magumi kweli?!!
Mautundu tu, jinsi ya kupika rosti la samaki nchanga, supu ya ukwaju na kachumbari.
Wabara kwa mingumi, punguzeni kula ugali mgumu.

tehe...
Hata sina la kusema, naona leo nimeamka na kipaji cha kutunga tata.
Sorry baby gal, nlimaanisha hizo salam sio za TB
kwa msisitizo na herufi kubwa.

How are you sweetheart, umeshakunywa supu ya maharagwe?
 
Nasubiri kwa hamu kuona kilicho ndani ya hiyo boxi nyekundu 🙂😛oa
I'm waiting for you .... 🙂
Ngoja tuone kama Klorokwin atakosa hii sherehe ila kwa jinsi pua yake inavyojua kunusa atakuwa hayuko mbali kutoka hapa
 
hongera kwa kukaribia uzee zaidi.

duhhhhhh
Nafurahi Bday yangu , kwa kweli
Naogopa kuzeeka sababu ya wrinkles
lakini nimewahi kusikia uzeeni kuna busara
kwa hiyo kuna faida kubwa ya kuzeeka dear ..

asante sana
😛oa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom