Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,616
- 3,423
Wale wa weka bahaaaariaaaaa, kila mtu baharia....
Utasikia brother sielewi kabisa
Utasikia brother sielewi kabisa
Kweli kabisa ,nakumbuka mimi kipindi nasoma wenzangu waliniona niko na nondo sana wafkanifanya kama gugo yao kumbe maujanja natoa JF na niligundua karibia shule nzima hawajui JF .Japo Ni upuuzi, lakini niamini mimi tukikuweka wewe na kijana mwenzio nwingine asiyetumia jamii forum tutakuta angalau wewe una uelewa mpana wa mambo zaidi yake. Nimetolea mfano JF kwakuwa kwa sasa ndio sehemu bora zaidi, au unaweza kunitajia ni tovuti gani nyingine yenye maarifa zaidi hapa nyumbani zaidi ya JF?
Japo Ni upuuzi, lakini niamini mimi tukikuweka wewe na kijana mwenzio nwingine asiyetumia jamii forum tutakuta angalau wewe una uelewa mpana wa mambo zaidi yake. Nimetolea mfano JF kwakuwa kwa sasa ndio sehemu bora zaidi, au unaweza kunitajia ni tovuti gani nyingine yenye maarifa zaidi hapa nyumbani zaidi ya JF?
Kweli kabisa ,nakumbuka mimi kipindi nasoma wenzangu waliniona niko na nondo sana wafkanifanya kama gugo yao kumbe maujanja natoa JF na niligundua karibia shule nzima hawajui JF .
Kuna siku tuliokuwa tunajadili kuhusu Bill gates mm nikasema kawahi kufikia Tz walinibishia karibu wote mimi nikaona na ushahidi wa picha akila wali na samaki Tanga tokea siku hiyo waliniamini kwa kila kitu ,kumbe madini napata hapa JF na nilishangaa sana hata vitu vidogo muhimu hawafaham zaidi ya stori nyingi za mipira na wasanii #VivaJf
Hii nyimbo ni ya hovyo tangu uhuru
Dedication
Ijitangaze kwa kweliJamii forum ifanye jambo kupenya vyuoni aisee itatusaidia kuzidi kuutangaza ni vyema kujivunia chetu
Jf imekuwa kama daraja la kupata hivyo vitu vizito kupita wana Jf nimejua saiti mbalimbali ,watu,vitabu na channels na connection nyingene za kujifunza na kupata madini Ktk nyanja mbalimbali .Vitu vyote hivyo kitaani hakuna mfno kuna website sasa natumia kusoma vitabu vya dini na historia niliijua baada ya maana Jf kunitumia kitabu kwny maandish mwishoni nikaona hyo web ss napakua mwenyewe.Km unatafuta mambo mepesi utayapata JF ila mambo mazito huwezi kuyapata JF. Unaweza sema hiyo Habari iliporitiwa JF tu na hakuna sehemu nyingine?
"Celebrity Worshipping" ni tatizo kubwa sana miongoni mwa Vijana wetu.Nisiwe mnafki sana kuhusu jambo hili, nchi nyingi za kiafrika tunafanana sana Mambo yetu. Yaani unayoyaona hapa nyumbani ndio hayo hayo yapo Burundi, Kenya, Nigeria, South Sudan, Afrika ya kati na hata South Afrika nchi iliyopiga hatua kidogo kwa Afrika.
Aisee ni upumbavu kuona et- watu maarufu nchini ni wachekeshaji, waimbaji, na wapuuzi puuzi tu wenye kufanya maupuuzi huko mitandaoni na unakuta wanapata wafuatiliaji mamilioni kwa mamilioni, wapumbavu hawa wasio jitambua
Sasa unakuta li-kijana limemaliza chuo alafu linalalamika ajira hakuna huku ukiliuliza unaijua hata jamii forum haijui, hana chochote cha zaidi ya kuwa-follow akina juma lokole na kujua ratiba zote za vipindi vya kipuuzi huko median.
Nimechunguza nikagundua kati ya vijana 10 tisa kati yao hawaitumii jamii forum, zaidi ya kukutana nayo hewani wakati wakiwa wame-google kitu flani. Yaani kwa maamuzi yao hii App sio kipaumbele .
Kujirekodi na kuweka status za kipuuzi puuzi ndio fashion. Sasa jitu hili utaliajiri kweli? Huko vyuoni ni upuuzi tu, elimu mbovu ubishololo umetamalaki, kutafunana tu hadi tunaogopa kupeleka mabinti zetu.
Snap chat, Facebook, Instagram, na kuangalia YouTube chanells za udaku ndio habari ya mujini na vijijini kuliko pelekwa umeme kwa kodi zetu na majasho yetu. Angalia Sasa ni nini wanaposti na kuweka umo, Ni ujinga ujinga tu wa viwango vya kimataifa.
Kwakweli tusimtafute mchawi wala kumsingizia mkoloni ua mabebelu, maana ujinga ndani yetu ukiona nchi watu wake maarufu na role model wa watu ni waigizaji, wachekeshaji, machawa, machangu, na waimbaji wa ovyo ovyo basi ujue hakuna kitu hapo.... Ni mzigo kwa Dunia tu.
Watu ambao wanatukana, wanafanya ujinga mtandaoni ndiyo wanaopewa fursa za kuwa mabarozi wa makampuni na wasemaji hivyo kila kijana ataiga. Mademu wanaovua vua ndiyo wanaitwa kwenye shughuli maalum. Refer mwijaku, steve nyerere, akina Hamisa na wengine utakuta wanaitwa kwenye shughyli hadi za kiserikali.Ni ajabu Sana mkuu, hadi Amber Ruty anafikia hatua ya kualikwa kuwa mgeni rasmi kwenye shughuli ya mahafali ya secondary?
Piere Liquid hadi CCM wanamtembeza kila mkoa mpaka bungeni?
Shida ilianzia pale wazazi wako walipokulazimisha ufuate profession waliyoitaka wao na siyo uliyoitamani.Nisiwe mnafki sana kuhusu jambo hili, nchi nyingi za kiafrika tunafanana sana Mambo yetu. Yaani unayoyaona hapa nyumbani ndio hayo hayo yapo Burundi, Kenya, Nigeria, South Sudan, Afrika ya kati na hata South Afrika nchi iliyopiga hatua kidogo kwa Afrika.
Aisee ni upumbavu kuona et- watu maarufu nchini ni wachekeshaji, waimbaji, na wapuuzi puuzi tu wenye kufanya maupuuzi huko mitandaoni na unakuta wanapata wafuatiliaji mamilioni kwa mamilioni, wapumbavu hawa wasio jitambua
Sasa unakuta li-kijana limemaliza chuo alafu linalalamika ajira hakuna huku ukiliuliza unaijua hata jamii forum haijui, hana chochote cha zaidi ya kuwa-follow akina juma lokole na kujua ratiba zote za vipindi vya kipuuzi huko median.
Nimechunguza nikagundua kati ya vijana 10 tisa kati yao hawaitumii jamii forum, zaidi ya kukutana nayo hewani wakati wakiwa wame-google kitu flani. Yaani kwa maamuzi yao hii App sio kipaumbele .
Kujirekodi na kuweka status za kipuuzi puuzi ndio fashion. Sasa jitu hili utaliajiri kweli? Huko vyuoni ni upuuzi tu, elimu mbovu ubishololo umetamalaki, kutafunana tu hadi tunaogopa kupeleka mabinti zetu.
Snap chat, Facebook, Instagram, na kuangalia YouTube chanells za udaku ndio habari ya mujini na vijijini kuliko pelekwa umeme kwa kodi zetu na majasho yetu. Angalia Sasa ni nini wanaposti na kuweka umo, Ni ujinga ujinga tu wa viwango vya kimataifa.
Kwakweli tusimtafute mchawi wala kumsingizia mkoloni ua mabebelu, maana ujinga ndani yetu ukiona nchi watu wake maarufu na role model wa watu ni waigizaji, wachekeshaji, machawa, machangu, na waimbaji wa ovyo ovyo basi ujue hakuna kitu hapo.... Ni mzigo kwa Dunia tu.
Ndo maana Jamaa wa Sauti Solo kajiongezaWenyewe wanakwambia "tushapagawa hatuelewi somo"![]()
Sasa huku kwetu imekuwa too much aisee, wenzetu wameshasogea mbali sana kwa kila kitu, na sasa ni kama wanarudia rudia tu burudani, ilipaswa sisi nasi tukomae na kujipambanua kusogea mbele zaidi kupitia teknolojia na sio kuitumia hovyo. Ningependa Mama afungie baadhi ya social medias kama ilivyokuwa kwenye webs za porn, ili walau vijana wetu wapumzike kidogo.Mitandao sio Afrika tu, ni duniani kote, na kuna matumizi ya kujiburudisha na matumizi ya kibiashara p
Msanii, upumbavu hautolewi na mtu mpumbavu kama ulivyomtambulisha mpumbavu wa Kwanza.Shida ilianzia pale wazazi wako walipokulazimisha ufuate profession waliyoitaka wao na siyo uliyoitamani.
Sasa unadhani kila mtu ana syndrome ya kusaidiwa kuwaza na anapaswa kuamuliwa na kuamriwa afanye nini.
Pole sana.
Next time uache upumbavu
Mfano instagram, inatumika sana kibiashara, na wanaonunua hizo bidhaa huonanhayo matangazo kupitia vituko vya akina Juma lokole, Diamond nk, so ni kama vinabebana, biashara zinawalipa wadaku kuweka matangazo, na wadaku huvutia watazamaji na hivyo zote husaidianaSasa huku kwetu imekuwa too much aisee, wenzetu wameshasogea mbali sana kwa kila kitu, na sasa ni kama wanarudia rudia tu burudani, ilipaswa sisi nasi tukomae na kujipambanua kusogea mbele zaidi kupitia teknolojia na sio kuitumia hovyo. Ningependa Mama afungie baadhi ya social medias kama ilivyokuwa kwenye webs za porn, ili walau vijana wetu wapumzike kidogo.
Kweli kabisa, na ndio maana nikasema Kama taifa linategemea hao wakina Juma lokole, Diamond nk katika kufanikisha biashara za wananchi wake ujue hapo akuna kitu zaidi ya vibiashara vya madela online, visendo, vibukta na makava ya simu.Mfano instagram, inatumika sana kibiashara, na wanaonunua hizo bidhaa huonanhayo matangazo kupitia vituko vya akina Juma lokole, Diamond nk, so ni kama vinabebana, biashara zinawalipa wadaku kuweka matangazo, na wadaku huvutia watazamaji na hivyo zote husaidiana
Sasa hao akina Dulvany ndio wanatufanikishia biashara zetu, lazima tuwalipe tu ili wapost biashara zetu, hatuna jinsi, ndio wenye mvuto wa kibiashara kwetu. Hata ukatangaza ITV bado haiwezi kufikia impact utakayopata endapo ukipost kwa Diamond au Mwijaku nk., so ni mfumo tu. Halafu biashara wanazotangaza sio za Sendo tu, kuna biashara za magari, viwanja, nyumba, nk., kupitia hao akina juma lokole wengine ndio tumajenga maghorofa huku mitaani, tunawategemea sana hao maxhoga nk.Kweli kabisa, na ndio maana nikasema Kama taifa linategemea hao wakina Juma lokole, Diamond nk katika kufanikisha biashara za wananchi wake ujue hapo akuna kitu zaidi ya vibiashara vya madela online, visendo, vibukta na makava ya simu.
Nilitegemea watu Kama Maxime, Joel Nanauka, Benjamin Fernandez, wangekuwa ndio kipaumbele zaidi na kupitia wao at least tungetegemea kuzalisha vijana bora wenye maarifa. Sasa ukiwauliza vijana wakutajie watu maarufu muhimu wanaowajua ndio utasikia Dulvany, Uchebe, Marioo sijui nani na nani upuuzi tu.
Mkuu FRANCIS DA DON, watu wote wangekuwa kama wewe basi issue ya mafanikio isingekuwa changamoto tena. Respect kwako uko makini mkuu👏👏😎Sasa hao akina Dulvany ndio wanatufanikishia biashara zetu, lazima tuwalipe tu ili wapost biashara zetu, hatuna jinsi, ndio wenye mvuto wa kibiashara kwetu. Hata ukatangaza ITV bado haiwezi kufikia impact utakayopata endapo ukipost kwa Diamond au Mwijaku nk., so ni mfumo tu. Halafu biashara wanazotangaza sio za Sendo tu, kuna biashara za magari, viwanja, nyumba, nk.
Nchi za kiafrica zote zinafanana ukitoa zile nchi za afrika ya waarabu hawa angalau kidogo watu wao ni kweli walipata UHURU