ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,894
- 22,393
Dah inasikitisha sana,yule mbongo anapigwa kama mwizi flan hivi
Unajipambanua kwelikweli kuwa mmoja wa watu wenye ulemavu wa fikra.
Angalia hayo maneno uliyoanza nayo kwenye hiyo mistari miwili ya mwanzo, uone kama inao uhusiano wowote na hayo yaliyofuata huko chini!.
Ukiachana na ubovu wa fikra zenyewe zilivyowasilishwa; ni wazi kwamba hujui sababu zinazosababisha hayo yanayotokea Afrika Kusini; lakini ufinyo wa uelewa wako, bado unajiona unajuwa matatizo yote ya huko Afrika Kusini!
Halafu, bila ya mategemeo, unarukia kuyasema ya Tanzania?
Sasa tuelewe nini, kwamba Tanzania, ili tusionekane kama hao wa Afrika Kusini, tukubali "...mgeni achume matunda ya ardhi ambayo wao wameshindwa (kuituliza?) ili tusionekane wabaguzi"?
Hiyo ndiyo itakuwa ishara ya sisi "kuipenda Tanzania"?
Haya ni mawazo ya namna gani haya!
Inaumiza sana.Dah inasikitisha sana,yule mbongo anapigwa kama mwizi flan hivi
Unajipambanua kwelikweli kuwa mmoja wa watu wenye ulemavu wa fikra.
Angalia hayo maneno uliyoanza nayo kwenye hiyo mistari miwili ya mwanzo, uone kama inao uhusiano wowote na hayo yaliyofuata huko chini!.
Ukiachana na ubovu wa fikra zenyewe zilivyowasilishwa; ni wazi kwamba hujui sababu zinazosababisha hayo yanayotokea Afrika Kusini; lakini ufinyo wa uelewa wako, bado unajiona unajuwa matatizo yote ya huko Afrika Kusini!
Halafu, bila ya mategemeo, unarukia kuyasema ya Tanzania?
Sasa tuelewe nini, kwamba Tanzania, ili tusionekane kama hao wa Afrika Kusini, tukubali "...mgeni achume matunda ya ardhi ambayo wao wameshindwa (kuituliza?) ili tusionekane wabaguzi"?
Hiyo ndiyo itakuwa ishara ya sisi "kuipenda Tanzania"?
Haya ni mawazo ya namna gani haya!
Ila Mzee baba nakushauri uache uchawa mama hakubaliki kabisa huo moyo wa kumtetea unaupata wapi?Inaumiza sana.
Post au mjadala niliyoweka hapa sasa hivi haihusiani na mkuu wa nchi, wala sijazungumzia uchawa wala kumzungumzia mtu, wala kumdhihaki yeyote. Wewe umetoka huko uliko toka unanena yako yaliyo moyoni.Ila Mzee baba nakushauri uache uchawa mama hakubaliki kabisa huo moyo wa kumtetea unaupata wapi?
Humu wengi wananifahamu kuwa Sina chama huwa natanguliza maslahi mbele ya Taifa wewe angalia kupitia post zangu nilizowahi kupost Kuna wakati nasifia CCM na vile vile wakifanya vibaya nawaponda na hiyo hiko pia kwa Chadema. In short kwenye nyeusi naweka nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Wewe umenishangaza kuunga mkono Tume sikatai binadamu tumetofautiana kwenye fikra lakini hoja ulioijenga kutetea hiyo Tume ndio imenifanya nikuone wewe ni chawaPost au mjadala niliyoweka hapa sasa hivi haihusiani na mkuu wa nchi, wala sijazungumzia uchawa wala kumzungumzia mtu, wala kumdhihaki yeyote. Wewe umetoka huko uliko toka unanena yako yaliyo moyoni.
Nikisema wewe ndiye Chawa maarufu (Chawa Promax) wa hao upande wa pili nitakuwa nakosea? Ambapo pengine wamekuahidi kwa kila siku ukiingia kwenye mijadala ukazungumzia uchawa au kumdhihaki kiongozi wa nchi basi unalipwa nitakuwa nakosea?
Anyway, sikukatazi kuwa Chawa, endelea na uchawa ila zingatia wakati mwingine mada inakuwa inahusika na reply unayoiweka?
Weekend njema mkuu.🙏🙏🙏
Humu wengi wananifahamu kuwa Sina chama huwa natanguliza maslahi mbele ya Taifa wewe karibu kupitia post zangu nilizowahi kupost Kuna wakati nasifia CCM na vile vile wakufanya vibaya nawaponda na hiyo hiko pia kwa Chadema. In short kwenye nyeusi naweka nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Wewe umenishangaza kuunga mkono Tume sikatai binadamu tumetofautiana kwenye fikra lakini hoja uliijenga kumtetea hiyo Tume ndio imenifanya nikuone wewe ni chawa
Wapo wengine ambao wanaoendeshwa na ushabiki na hao utawajua tu huwa hawajibu hoja badala yake nikutukana tuSawa mkuu. Nimekuelewa, ila mimi sio Chawa, penye ukweli nasema ukweli, pasipo kuangalia wangapi wataunga au kutounga mkono. Hilo ndio nadhani limekuwa tatizo la wengi pale mnapotofautiana kimtazamo na mwingine hususan katika kipindi kama hiki.
Lakini wote tunabaki kuwa watanzania tu. Siwezi kukubeza, au kukudhihaki kama unakuwa na mtazamo tofauti na mimi.
Udhaifu halisi wa fikra ni kubaki Shinyanga ukilima shamba lile lile kwa miaka 20 huku ukitegemea matokeo tofauti.Udhaifu wa fikra.
Wanaamini huko kuna life, sawa na mtu aliye nje ya mkoa wa Dar es Salaam anaishi huko ndani-ndani, kama Shinyanga, Tabora na hajawahi kufika Dar es Salaam.
Anaamini kila aliyeko Mkoa wa Dar es Salaam ana maisha mazuri, kudhani kufanikiwa ni haraka n.k.
Kweli kabisa, wao kujenga hoja ni mwiko.😂😂Wapo wengine ambao wanaoendeshwa na ushabiki na hao utawajua tu huwa hawajibu hoja badala yake nikutukana tu
Jiwe alipendwa na Watanzania, wengi walikuwa wanaandika mawazo yao wenyewe.Jiwe alikuwa na timu smart sana ya mtandaoni, nyie timu ya mama mnamuangusha mama yenu, mnapwaya sana katika propaganda na kufanya mashambulizi.
Angekuwa anapendwa na Watanzania wengi asingepora uchaguzi wa 2020.Jiwe alipendwa na Watanzania, wengi walikuwa wanaandika mawazo yao wenyewe.
Samuya hapendwi, kwa hiyo inahitaji creativity kubwa kumpamba mitandaoni kitu ambacho wengi wanafeli