Afrika Mashariki inarudi nyuma kidemokrasia

Afrika Mashariki inarudi nyuma kidemokrasia

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,255
Reaction score
16,185
Askari hawaoni tabu kumuua Raia mwenzao ambae hana silaha mwenye mawazo tofauti na watawala. Hiyo imegeuka kuwa fasheni yetu sasa Afrika Mashariki.

Viongozi wetu ni kama vile wanatafuta Uhuru upya. Wanapambana na yeyote anayewapinga sawasawa na walivyofanya makaburu na wakoloni kwa watu weusi.

Wanatumia kila fursa hata covid 19 kujinufaisha kisiasa. Wanatumia wabunge waliopitishwa kwa njia za gizani kutunga sheria zenye upogo ili kujibakisha madarakani milele.

Nchi zao nilazima ziongozwe na wao wengine hawawezi wataharibu. Kila anaesema hivyo sivyo anatumiwa na mabeberu. Watampa jina baya ili wahalalisha kumpiga, kumuweka kizuizini, kumuua, kumrushia tears gas, kumfungulia mashitaka, na kila aina ya kumnyamazisha.
 
Mawazo yapi ambayo wananchi tunaweza sema hawa wanastahili nchi? kufukuza mwanachama kisa anataka kua mwenyekiti? faragha? mikopo? mawazo gan sasa upinzani wanayo zaidi ya kurudisha hawa ngozi white africa?

- Kama ni kuua thats very normal, Tanzania na Uganda zilipigana vita kwan waliuliwa Wazungu ama Waafrika?
 
Shule za kata bwana!

Pata maji apo nitalipa najua uliahidiwa cheo Ufipa endapo Lissu atashinda ila hauna la kufanya sasahivi. ile ofisi kodi ya January mmeandaa lakini au nije kuweka dau? location nzuri sana ya gesti ile
 
Mapolisi wanafanana tabia wako radhi kuwauwa Waafrika wenzao kulinda tumbo la mtawala ambae nae akipata madaraka awakumbuki kuboresha maslai ya Polisi. Hawana tofauti na mbwa alindae kwa bidii bila ujira. Police wa Malawi angalau kidogo ni civilized na professional
 
Anza wewe kuhamia Kenya.
FB_IMG_1605222215404.jpg
 
Kuna mtz flani kwenye uzi huu anatafuta comment yangu, see reply.
 
Nashauri Kenya ijiondoe kwenye jumuiya ya Africa Mashariki
Mkuu naona baada ya Uchaguzi umekuwa mtu wa kuhangaika sana.
Tayari Leo umekuwa Mkenya baada ya juzi na Jana kumaliza kuwa mtu wa Ulaya "EU"
Pole Sana mkuu Najua unapitia kipindi kigumu Sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom