Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,621
- 46,268
Kumekuwepo na taarifa kutoka vyombo mbalimbali vya habari kwamba kutokana na waranti ya ICC iliyotolewa kwa Putin Africa Kusini isingependelea Putin ashiriki mkutano wa wakuu wa nchi wa BRICS utakaofanyika katika nchi hiyo mwezi wa nane mwaka huu.
Makamu wa Africa ya Kusini amepenedkeza waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuiwakilisha nchi hiyo badala ya Putin.
Africa Kusini ni mwanachama wa ICC na anapaswa kutoa ushirikiano kwa mahakama hiyo japo wakati mwingine imekuwa haifanyi hivyo kama ilivyotokea kwa waranti ya Rais wa Sudan Omar Al-Bashir. Hata hivyo jambo hilo limekuwa likizua migogoro mikubwa ya kidiplomasia.
Makamu wa Africa ya Kusini amepenedkeza waziri wa mambo ya nje wa Urusi kuiwakilisha nchi hiyo badala ya Putin.
Africa Kusini ni mwanachama wa ICC na anapaswa kutoa ushirikiano kwa mahakama hiyo japo wakati mwingine imekuwa haifanyi hivyo kama ilivyotokea kwa waranti ya Rais wa Sudan Omar Al-Bashir. Hata hivyo jambo hilo limekuwa likizua migogoro mikubwa ya kidiplomasia.