Putin ashindwa kwenda BRICS Afrika Kusini, utata na presha ya ICC vyazungumzwa ziadi

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,661
46,349
Baada ya sarakasi nyingi kuhusiana na ushiriki wa Putin katika mkutano wa BRICS utakaofanyikia Africa Kusini hatimaye vyombo mbalimbali vya habari duniani vimeripoti taarifa kutoka Ikulu ya Africa Kusini ya Rais Ramaphosa ikisema Rais huyo wa Urusi hataweza kuhudhuria mkutano huo.

Endapo Putin angefika Africa Kusini angejiweka katika hatari kubwa ya kutiwa nguvuni na taifa hilo mwanachama wa ICC.
Hata hivyo Africa Kusini wakati mwingine huwa haitoi ushirikiano kwa mahakama hiyo kama ilivyokataa kumkamata Omar Al-Bashir wa Sudan.

Vyombo mbalimbali vya habari viliripoti pia kwamba nchi hiyo haikuwa inapendelea sana Putin kuhudhuria kutokana na utata wa kidiplomasia ambao ungeibuka.
 
Baada ya sarakasi nyingi kuhusiana na ushiriki wa Putin katika mkutano wa BRICS utakaofanyikia Africa Kusini hatimaye vyombo mbalimbali vya habari duniani vimeripoti taarifa kutoka Ikulu ya Africa Kusini ya Rais Ramaphosa ikisema Rais huyo wa Urusi hataweza kuhudhuria mkutano huo.

Endapo Putin angefika Africa Kusini angejiweka katika hatari kubwa ya kutiwa nguvuni na taifa hilo mwanachama wa ICC.
Hata hivyo Africa Kusini wakati mwingine huwa haitoi ushirikiano kwa mahakama hiyo kama ilivyokataa kumkamata Omar Al-Bashir wa Sudan.

Vyombo mbalimbali vya habari viliripoti pia kwamba nchi hiyo haikuwa inapendelea sana Putin kuhudhuria kutokana na utata wa kidiplomasia ambao ungeibuka.
Weka chanzo cha habari
 
Weka chanzo cha habari
Source: Aljazeera
Screenshot_20230719-165835.jpg
 
Africa Kusini haiaminiwi sana katika BRICS, labda Urusi imeona inaweza kuwaingiza kingi tukashuhudia Putin akiwa katika pingu.
Tuache masihara na mambo serious!Hivi kweli Rais wa taifa kama Russia unadhani anaweza kukamatwa akitembelea taifa lolote duniani?Hivi SA kweli wamkamate Putin,Rais wa nuclear super power!!!?
Hivi ulinzi wa Rais wa taifa kubwa kama Russia unaujua?Kwanza angeeda SA,ndege za kivita zingekuwa ziko jirani zinarandaranda,Submarine zingesogea karibu na SA,meli vita zingekuwa jirabi kabisa na SA!
Halafu eti Ramaphosa atoe order ya kumkamata Putin!!!
Kweli uko serious?
Alichokikwepa SA ni kuingia kwenye mdororo wa kidiplomasia na nchi za west ndio maana SA ameomba Putin asihudhurie!
 
Tuache masihara na mambo serious!Hivi kweli Rais wa taifa kama Russia unadhani anaweza kukamatwa akitembelea taifa lolote duniani?Hivi SA kweli wamkamate Putin,Rais wa nuclear super power!!!?
Hivi ulinzi wa Rais wa taifa kubwa kama Russia unaujua?Kwanza angeeda SA,ndege za kivita zingekuwa ziko jirani zinarandaranda,Submarine zingesogea karibu na SA,meli vita zingekuwa jirabi kabisa na SA!
Halafu eti Ramaphosa atoe order ya kumkamata Putin!!!
Kweli uko serious?
Alichokikwepa SA ni kuingia kwenye mdororo wa kidiplomasia na nchi za west ndio maana SA ameomba Putin asihudhurie!
Urusi sio superpower, USSR angalau ndio ingeweza kujitamba hivyo. Urusi kwa sasa ni great power au regional power.
 
Tuache masihara na mambo serious!Hivi kweli Rais wa taifa kama Russia unadhani anaweza kukamatwa akitembelea taifa lolote duniani?Hivi SA kweli wamkamate Putin,Rais wa nuclear super power!!!?
Hivi ulinzi wa Rais wa taifa kubwa kama Russia unaujua?Kwanza angeeda SA,ndege za kivita zingekuwa ziko jirani zinarandaranda,Submarine zingesogea karibu na SA,meli vita zingekuwa jirabi kabisa na SA!
Halafu eti Ramaphosa atoe order ya kumkamata Putin!!!
Kweli uko serious?
Alichokikwepa SA ni kuingia kwenye mdororo wa kidiplomasia na nchi za west ndio maana SA ameomba Putin asihudhurie!
Vichekesho kibao.
 
Urusi sio superpower, USSR angalau ndio ingeweza kujitamba hivyo. Urusi kwa sasa ni great power au regional power.
Hauko kwenye uhalisia!Wakati arrest warrant inatoka!Wachambuzi wote walisema hiyo warrant ni Symbolic tu!
Putin akiwa madarakani au asiwe madarakani,haitatokea akafikishwa ICC!
Wewe endelea kujenga hoja kwa mtazamo wa mpira wa miguu!
 
Hao south africa omar bashir hawakumkamata ndio wamkamate puttin hata usa wenyewe uwezo huo wa kumkamata huyo mwamba hana
Ustaadh ubish wa nini si aende tu tuone kama Nancy Pelos alivyoingia Taiwan pamoja na mikwara yooote ya China.
 
Hauko kwenye uhalisia!Wakati arrest warrant inatoka!Wachambuzi wote walisema hiyo warrant ni Symbolic tu!
Putin akiwa madarakani au asiwe madarakani,haitatokea akafikishwa ICC!
Wewe endelea kujenga hoja kwa mtazamo wa mpira wa miguu!
ubish wa nini si aende tu tujionee picha live kama Nancy Pelos alivyoingia Taiwan pamoja na mikwara yooote ya China ikaishia kuufyata jike likaingia Taiwan.Kwamba Putin katia mpira kwapani hilo halina ubishi.
 
Back
Top Bottom