Afrika Kusini yatoa warranty ya kukamatwa kwa Benjamin Netanyahu kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kwa Wapalestina wa Gaza

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
32,230
35,665
Africa Kusini Imetoa waranti ya Kukamatwa Kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kutokana na uhalifu wa kivita huko Gaza.

Aidha SA imewatimua Mabalozi wa Israel Kwa kile ilichoita apartheid Dhidi ya Wapalestina.

Ikumbukwe Africa Kusini Huwa haitanii maana Putin aliufyata kusafiri huko Kwa kuwa Kuna warranty ya Kukamatwa kwake iliyotolewa na Mahakama ya Haki za binadamu ya The Hague.

View: https://twitter.com/africaupdates/status/1726793525805924590?t=8J0fjsf9gsGPyiMuaRWGFA&s=19

My Take
Naunga mkono na nitoe wito Kwa Nchi zingine za Afrika na Dunia Kuiga mfano huu mzuri wa Afrika Kusini maana kuacha bila kuadhibiwa itaonekana kumbe kuua watu sio issue tena na kinachoitwa Haki za binadamu ni geresha.

View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1727229051897516449?t=f26axuJCNIgenKv-aMydYQ&s=19
 
kilichoandikwa ni tofaut na hiyo screen shoot.

mtoa mada anasema SA imetoa hati ya kukamatwa ya PM wa israel.. hv hata anajua sheria za kimataifa zinafanyaje kazi... kwani huyo PM wa israel alitenda kosa ndani ya SA hadi mahakama ya SA itoe hati? pili hiyo screenshoot inasema Israel imeondoa mabaloz wake sababu SA imetoa tamko ikitaka PM wa israel ashtakie/akamatwe ( na mahakama za kimataifa) sio kuwa imetoa hati yenyewe... hv unafiki Nchi "A" inaweza kujiamulia kutoa hati ya kukamata raia wa Nchi "B" kwa kosa alilotenda kwnenye Nchi "C"... au unafikiri jaji wako au hakimu mkaz wa kipunguzi TZ anaweza kumtolea hati raia hata wa kenya alietenda kosa rwanda?... lazima kuwe na connection mamlaka ya nchi husika iombe ikiwa muhaifu huyo kaingia TZ

hata PM wa israel akienda SA hawez kukamatwa sababu hajatenda kosa nda ya SA.. wanachoweza kufanya ni kumzuia assingine SA sio kumkamata.. putin alitolea hati na mahamaka ya kimataifa mtoa hoja jifunze kuelewa mambo kaba ya kupost..
 
kilichoandikwa ni tofaut na hiyo screen shoot.

mtoa mada anasema SA imetoa hati ya kukamatwa ya PM wa israel.. hv hata anajua sheria za kimataifa zinafanyaje kazi... kwani huyo PM wa israel alitenda kosa ndani ya SA hadi mahakama ya SA itoe hati? pili hiyo screenshoot inasema Israel imeondoa mabaloz wake sababu SA imetoa tamko ikitaka PM wa israel ashtakie/akamatwe ( na mahakama za kimataifa) sio kuwa imetoa hati yenyewe... hv unafiki Nchi "A" inaweza kujiamulia kutoa hati ya kukamata raia wa Nchi "B" kwa kosa alilotenda kwnenye Nchi "C"... au unafikiri jaji wako au hakimu mkaz wa kipunguzi TZ anaweza kumtolea hati raia hata wa kenya alietenda kosa rwanda?... lazima kuwe na connection mamlaka ya nchi husika iombe ikiwa muhaifu huyo kaingia TZ

hata PM wa israel akienda SA hawez kukamatwa sababu hajatenda kosa nda ya SA.. wanachoweza kufanya ni kumzuia assingine SA sio kumkamata.. putin alitolea hati na mahamaka ya kimataifa mtoa hoja jifunze kuelewa mambo kaba ya kupost..
Kumwelimisha mpumbavu ni kujipa kazi. Pole sana mkuu
 
kilichoandikwa ni tofaut na hiyo screen shoot.

mtoa mada anasema SA imetoa hati ya kukamatwa ya PM wa israel.. hv hata anajua sheria za kimataifa zinafanyaje kazi... kwani huyo PM wa israel alitenda kosa ndani ya SA hadi mahakama ya SA itoe hati? pili hiyo screenshoot inasema Israel imeondoa mabaloz wake sababu SA imetoa tamko ikitaka PM wa israel ashtakie/akamatwe ( na mahakama za kimataifa) sio kuwa imetoa hati yenyewe... hv unafiki Nchi "A" inaweza kujiamulia kutoa hati ya kukamata raia wa Nchi "B" kwa kosa alilotenda kwnenye Nchi "C"... au unafikiri jaji wako au hakimu mkaz wa kipunguzi TZ anaweza kumtolea hati raia hata wa kenya alietenda kosa rwanda?... lazima kuwe na connection mamlaka ya nchi husika iombe ikiwa muhaifu huyo kaingia TZ

hata PM wa israel akienda SA hawez kukamatwa sababu hajatenda kosa nda ya SA.. wanachoweza kufanya ni kumzuia assingine SA sio kumkamata.. putin alitolea hati na mahamaka ya kimataifa mtoa hoja jifunze kuelewa mambo kaba ya kupost..
Elimu Dunia Hana huyo mwenzetu, yeye alisoma elimu ya kuzimu🤣
 
kilichoandikwa ni tofaut na hiyo screen shoot.

mtoa mada anasema SA imetoa hati ya kukamatwa ya PM wa israel.. hv hata anajua sheria za kimataifa zinafanyaje kazi... kwani huyo PM wa israel alitenda kosa ndani ya SA hadi mahakama ya SA itoe hati? pili hiyo screenshoot inasema Israel imeondoa mabaloz wake sababu SA imetoa tamko ikitaka PM wa israel ashtakie/akamatwe ( na mahakama za kimataifa) sio kuwa imetoa hati yenyewe... hv unafiki Nchi "A" inaweza kujiamulia kutoa hati ya kukamata raia wa Nchi "B" kwa kosa alilotenda kwnenye Nchi "C"... au unafikiri jaji wako au hakimu mkaz wa kipunguzi TZ anaweza kumtolea hati raia hata wa kenya alietenda kosa rwanda?... lazima kuwe na connection mamlaka ya nchi husika iombe ikiwa muhaifu huyo kaingia TZ

hata PM wa israel akienda SA hawez kukamatwa sababu hajatenda kosa nda ya SA.. wanachoweza kufanya ni kumzuia assingine SA sio kumkamata.. putin alitolea hati na mahamaka ya kimataifa mtoa hoja jifunze kuelewa mambo kaba ya kupost..
Putin alitenda uhalifu ndani ya South alivyoogopa kwenda kwenye Brics kisa kutiwa mbaroni?
 
Akanyage South Africa tuone.Nimekwambia Putin alinywea kwenda Brics sembuse huyo nguchiro anaejificha kwenye kwapa la USA?
Key board worrior wa JF huwa mnatupa burdani sana.Mkiambiwa sasa mjitokeze hadharani kwa real ID zenu na mrudie maneno yenu mliyokuwa mnatype hapa huoni hata mmoja akithubutu.
 
kilichoandikwa ni tofaut na hiyo screen shoot.

mtoa mada anasema SA imetoa hati ya kukamatwa ya PM wa israel.. hv hata anajua sheria za kimataifa zinafanyaje kazi... kwani huyo PM wa israel alitenda kosa ndani ya SA hadi mahakama ya SA itoe hati? pili hiyo screenshoot inasema Israel imeondoa mabaloz wake sababu SA imetoa tamko ikitaka PM wa israel ashtakie/akamatwe ( na mahakama za kimataifa) sio kuwa imetoa hati yenyewe... hv unafiki Nchi "A" inaweza kujiamulia kutoa hati ya kukamata raia wa Nchi "B" kwa kosa alilotenda kwnenye Nchi "C"... au unafikiri jaji wako au hakimu mkaz wa kipunguzi TZ anaweza kumtolea hati raia hata wa kenya alietenda kosa rwanda?... lazima kuwe na connection mamlaka ya nchi husika iombe ikiwa muhaifu huyo kaingia TZ

hata PM wa israel akienda SA hawez kukamatwa sababu hajatenda kosa nda ya SA.. wanachoweza kufanya ni kumzuia assingine SA sio kumkamata.. putin alitolea hati na mahamaka ya kimataifa mtoa hoja jifunze kuelewa mambo kaba ya kupost..
Julian Assange je?


Bumbaf wewe
 
Watu (SA) walioshindwa kuwapenda watu weusi wenzao wanaoishi nao katika ardhi yao wanajifaragua kuonyesha ulimwengu kwamba wanawapenda Hamas...
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom