Afrika Kusini: Watu watano wauawa katika ghasia za mgomo wa taksi Cape Town

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,462
Sa.JPG

Mmmoja wa waliopoteza maisha katika mgomo huo unaohusisha maandamano ni raia wa Uingereza mwenye umri wa miaka 40 ambaye familia yake inaungwa mkono na Ofisi ya Mambo ya Nje ya Uingereza.

Maderava wa taksi aliitisha mgomo huo wakidai kuna mbinu nzito zinazofanywa na mamlaka za kuharibu biashara yao na kudai wamekuwa wakizuiwa na magari yao kushirikiliwa kwa makosa madogomadogo ikiwemo kutovaa mkanda na kuendesha gari kinyume cha sheria katika njia ya dharura.

Mbali na hapo wanadai kuwa Serikali imekuwa ikitoza fainai kwa magari mengine

Waziri wa Uchukuzi wa Afrika Kusini, Sindisiwe Chikunga aliamuru kuachiliwa mara moja kwa teksi ndogo zilizozuiliwa na Jiji la Cape Town na kusema Sheria iliyotumiwa na jiji imetekelezwa n vibaya na kuongeza kuwa haipo katika Sheria za sasa.



Wizara ya Polisi ya Afrika Kusini ilisema watu 120 wametiwa mbaroni tangu mgomo huo uanze tarehe 3 Agosti na wanafahamu kuhusu matukio ya uporaji, urushaji mawe na uchomaji moto.

============

Five people killed in Cape Town taxi strike violence

Five people have died in violent protests relating to a taxi strike in Cape Town, South Africa, officials say.

The victims include a 40-year-old British national whose family is being supported by the UK Foreign Office.

The week-long strike was called in response to what drivers said was "heavy-handed tactics" by law enforcement authorities.

The taxi drivers and owners said their vehicles were being targeted and impounded for minor offences.

Infringements included not wearing a seatbelt and illegally driving in the emergency lane, drivers said. They claimed others doing the same only faced fines.

Minibus taxi operators across Cape Town also aired frustrations that the government was impounding taxis they claimed were not roadworthy.

On Tuesday, South Africa's transport minister Sindisiwe Chikunga ordered the immediate release of the minibus taxis impounded by the City of Cape Town.

Ms Chikunga said the legislation used by the city had been "executed and implemented wrongly" and added that "it doesn't exist" under current laws.

The South African Ministry of Police said 120 people had been arrested since the strikes began on 3 August and they were aware of incidents of looting, stone throwing and arson.

Police Minister Bheki Cele also confirmed a police officer was among those who died.

On Tuesday, residents in the Masiphumelele township set up barricades, preventing other residents from leaving. Many of those barricades were set alight.

Speaking to the press on Tuesday, Mr Cele called for co-operation between the Cape Town government and taxi operators. He said those affected by the strike included children who could no longer get to school.

"People must swallow their pride, come together and resolve this issue", he said.

The UK has issued a travel warning after the strike was listed as a high security threat for tourists visiting South Africa.
 
Were you all in the same class,fella?What a sorrowful end to your "classical" mates!Nategemea kuona mahema hapo maskani na ulaji wa ubwabwa kwa kuwakumbuka marehemu.Ole wako utupikie masangu!
Napokea mchango wa rambirambi ili nikimbie chap hapo bondeni kwa Madiba niwahi msibani...😥
 
Napokea mchango wa rambirambi ili nikimbie chap hapo bondeni kwa Madiba niwahi msibani...😥
Sawa tuma li-m pwesa lako tukudundulizie some rands!Ila usitokomee "Jobegi" halafu baada ya mwaka unatutumia sms za mahuzuniko na kudai nauli.😂😂😂😂😂😂😂
 
In a very serious note, kuna tetesi kuwa pia mtanzania mmoja ameuawa kutokana na ghasia hizi pale M.Plain near Town two centre,kutokana na umbali kutoka huku lingusenguse, Namtumbo, information zinakua shida kuzipata, ila reliable source ni kweli watanzania tuna msiba pale,CPT
 
In a very serious note, kuna tetesi kuwa pia mtanzania mmoja ameuawa kutokana na ghasia hizi pale M.Plain near Town two centre,kutokana na umbali kutoka huku lingusenguse, Namtumbo, information zinakua shida kuzipata, ila reliable source ni kweli watanzania tuna msiba pale,CPT
Wacha bwana wewe!Mbona mimi nipo hapa Suruti na hawataki kunihabarisha?Huzuni sana!
 
In a very serious note, kuna tetesi kuwa pia mtanzania mmoja ameuawa kutokana na ghasia hizi pale M.Plain near Town two centre,kutokana na umbali kutoka huku lingusenguse, Namtumbo, information zinakua shida kuzipata, ila reliable source ni kweli watanzania tuna msiba pale,CPT
Kuna video moja nimeiona Mtu kagawanishwa pua na mdomo nusu kwa nusu na bado akawa Kama anataka kuongea hivi! Lakini nimeaambiwa nae amefariki!!
 
In a very serious note, kuna tetesi kuwa pia mtanzania mmoja ameuawa kutokana na ghasia hizi pale M.Plain near Town two centre,kutokana na umbali kutoka huku lingusenguse, Namtumbo, information zinakua shida kuzipata, ila reliable source ni kweli watanzania tuna msiba pale,CPT
Nahisi ni huyu nimeikuta kwenye group masikini

MZEE BABA........

NDUGU WATANZANIA MABAHARIA WATAFUTAJI NA WANAHARAKATI.....TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTANZANIA MWEZETU BWANA SHABAN.........

SHABAN ALIPIGWA RISASI JANA CAPE TOWN SOUTH AFRICA KTK FUJO ZA WA SOUTH AFRICA AMBAO WALIKUWA KTK MIGOMO YAO NA KUANZISHA FUJO ZA UCHOMAJI MAGARI UPIGAJI WA RAIA.....UHARIBIFU WA MALI ZA RAIA PAMOJA NA SERIKALI..................

REST IN PEACE MWAMBA.......

NDUGU YETU SHABAN TANZANIA ANATOKEA SINZA ZAMANI ALIKUWA ANAISHI MAGOMENI CORT.....
Screenshot_20230809_091746_GBWhatsApp.jpg
 
Nahisi ni huyu nimeikuta kwenye group masikini

MZEE BABA........

NDUGU WATANZANIA MABAHARIA WATAFUTAJI NA WANAHARAKATI.....TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTANZANIA MWEZETU BWANA SHABAN.........

SHABAN ALIPIGWA RISASI JANA CAPE TOWN SOUTH AFRICA KTK FUJO ZA WA SOUTH AFRICA AMBAO WALIKUWA KTK MIGOMO YAO NA KUANZISHA FUJO ZA UCHOMAJI MAGARI UPIGAJI WA RAIA.....UHARIBIFU WA MALI ZA RAIA PAMOJA NA SERIKALI..................

REST IN PEACE MWAMBA.......

NDUGU YETU SHABAN TANZANIA ANATOKEA SINZA ZAMANI ALIKUWA ANAISHI MAGOMENI CORT.....View attachment 2712405
Yes mkuu ndiye yeye, mpiganaji sana na amepoteza maisha kwenye battlefield ya kupigania future ya family yake,MHSRIP
 
Nahisi ni huyu nimeikuta kwenye group masikini

MZEE BABA........

NDUGU WATANZANIA MABAHARIA WATAFUTAJI NA WANAHARAKATI.....TUNASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA MTANZANIA MWEZETU BWANA SHABAN.........

SHABAN ALIPIGWA RISASI JANA CAPE TOWN SOUTH AFRICA KTK FUJO ZA WA SOUTH AFRICA AMBAO WALIKUWA KTK MIGOMO YAO NA KUANZISHA FUJO ZA UCHOMAJI MAGARI UPIGAJI WA RAIA.....UHARIBIFU WA MALI ZA RAIA PAMOJA NA SERIKALI..................

REST IN PEACE MWAMBA.......

NDUGU YETU SHABAN TANZANIA ANATOKEA SINZA ZAMANI ALIKUWA ANAISHI MAGOMENI CORT
.....View attachment 2712405
Mbona kama vile anafanana na yule aliepostiwa humu jukwaani jana kua anatafutwa na ndugu yake?
 
Yes mkuu ndiye yeye, mpiganaji sana na amepoteza maisha kwenye battlefield ya kupigania future ya family yake,MHSRIP
Masikini nimeona picha zake alivyokuwa hospital inasikitisha sana Mungu ampumzishe mahali pema peponi.

Ila South Africa sio sehemu salama kuishi watu wawe makini sana.
 
Mbona kama vile anafanana na yule aliepostiwa humu jukwaani jana kua anatafutwa na ndugu yake?
Pls pls mkuu
Masikini nimeona picha zake alivyokuwa hospital inasikitisha sana Mungu ampumzishe mahali pema peponi.

Ila South Africa sio sehemu salama kuishi watu wawe makini sana.
Amina, yes mkuu he died ndani ya battlefield ya maisha na sio kulalama humu kwa viajira uchwara, maisha ni lazima u take risks, ni royal families na watoto wa mama, watajiuliza why alikwenda kule,mpiganaji mmoja down, vita inaendelea, to win the war you must win every battle
 
Back
Top Bottom