Afrika kushabikia ICC ni kama ushamba

Afrika kushabikia ICC ni kama ushamba

Akili za mwenyekiti wa mbogamboga
20201116_084658.jpeg
 
Court safi kufunga madikteta yote yanayoua raia zake sababu ya kura!

Madikteta hasa ya Third World countries.
Mbona wamarekani wameua sana tu hapo Uarabuni tena wakina mama na watoto lakini hawajashitakiwa? Nisaidie mkuu ili nielewe!
 
Wazungu hawapati shida kuwanyonya waafrika sababu ya ujinga wa baadhi Yao.
ICC ni fimbo ya ukoloni mamboleo, bado kuna wajinga wanaishabikia.
 
ICC Wana kesi za Syria,Burundi,China,USA .Maalim Seif na Jecha faili lilishatupwa zamani,kwa kifupi wamepoteza credibility.
 
Bila madikteta hawa wanaomiliki bunduki na vifaru kushughulikiwa na nguvu ya ziada yataumiza sana watu wao. Ni bora ICC iwepo ili yajue kuwa hayako salama sana kwa matendo yao ya kidhalimu.



Pyu pyu pyu risasi 16 🔫. 🤣 mtu kapigwa wala hakuna aliyekamatwa.

Siku watu wakiuawa kwa halaiki itakuwaje???----- ICC ni muhimu.
 
Umeelezea vizuri sana! Ila akili za wapinzani ni ndogo hawataelewa, ni kikundi kama kimelaaniwa vile! Wanapinga bila kutafakari na wengine uwezo wa kutafakari hawana! Mara wakishindwa kuelewa mada, utawasikia - "kachukue buku saba, mataga, miCcm,n.k!
 
Maibilisi na Vibaraka ya Madikteta ya Africa yanaogopa sana ICC
 
Nadhani ni zaidi ya USHAMBA kudhani kuwa unaweza pata uteuzi na kupigiwa simu na mteuaji kwa kuweka post za kinafki hapa JF. Ili kithibitisha hili muulize Paskal Njaa. Nakusihi utafute strategy nyingine.
 
NGUVU NA AKILI

Inaelekea bado unapenda kuona mass killings zinazofanywa na viongozi wakiafrika kwa waafrika.

Mtu au kiongozi anayetumia nguvu kuendesha nchi na akaiacha akili pembeni kwanini asipelekwe ICC. Ulishawahi kuona kiongozi wakiafrika anayetumia akili kuongoza nchi yake kashtkiwa..
 
Back
Top Bottom