Africans are "misplaced human beings" in this planet

Mzungu wa Afrika Kusini au Mmorocco au Algerian ni Mwafrika by nationality lakini Caucasian genetically. Ni kama hata ukikaa Ulaya au Marekani miaka 300 bado utakuwa "Negroid". Kwa hiyo ndio maana kuna African Americans, Afro Brazilians, n.k.

Mwafrika naye ana tofauti zake. Kuna Wabantu kama Wasukuma, Wachaga, Nilotes kama Wajaluo na Wamasai, Kushites hao sijui ni Wabarbaig, Wahabeshi na Wasomali, (ambao walihamia kutoka Uarabuni mamia ya miaka iliyopita).
 
Sawa, mbona tuko nyuma kimaendeleo sasa?!
unafikiri wazee wetu walikuwa na akili mbovu kama tulizo nazo leo? kizazicha watu wasio fikiri wanaodhani kuwa ili wao waishi wanahitaji huruma ya mzungu,tumebeza historia yetu ndo maana leo tuko hapa,ndo maana wazee wa zamani walimpinga mkoloni na aliondoka,au alijua kuwa hawa watu hawanitaki kwa kuwa naharibu mfumo wao wa maisha,sisi tumekubali wazungu watawale fikra zako,
 
Nakubaliana na hoja yako to the point, kwa sababu Waafrika tunang'ang'ania hii dhana ya kuwa na rasilmali, lakini rasilmali bila elimu au ujuzi haisadii chochote.

Hii ndio ule mjadala wa nurture or nature. Waafrika tuko hivi kwa sababu tumeumbwa hovyo au tumezoezwa hovyo. Mimi nina submit ni kwa sababu tumezoezwa hovyo, badala ya kukabili mazingira tunataka shortcuts za kikombe cha babu, kufanya maombi, kupiga ramli. Hamna muujiza utakao toka popote, binadamu ni master of his/her own destiny. Na uozo wa viongozi wetu ndio unaosisitiza ujinga huo.

Nakumbuka nilivyokuwa chuo nachukua darasa moja la Calculus na msichana mmoja wa Kichina. Alikuwa mkare kwa sababu kila mtihani alikuwa wa kwanza. Akawa anasema wakati mwingine Wazungu wanamkera kwa sababu wana assume tu kwa sababu yeye ni MAsia basi hesabu inapanda tu. Akawa anasema kila akifika nyumbani ni kufanya homework na kurudia kusoma tena mara nyingi. Siyo kwamba alizaliwa na gene ya hesabu na sayansi, akijikuna tu anapata material.

Kwanini Haiti(nchi ya watu weusi huko Amerika ya Kaskazini) ndio wanaokufa na kipindindupindu tu?
Nimegusia kidogo huko juu sababu za Haiti kuwa maskini. Watumwa walitolewa Afrika kwenda kufanya kazi kwenye mashamba ya miwa. Wakawatimua mabwana wao Wafaransa karne ya kumi na nane, Marekani na Ufaransa wakawawekea vikwazo vya uchumi. Sasa hivi ni kisiwa kilichojaa watu, msongamano, hamna ardhi ya kulima au kufanya lolote, na hata huo mji wao mkuu Port au Prince ni kama Dar es Salaam nzima ikiwa Uwanja wa Fisi. Na kipindu pindu kinapenda sehemu yenye msongamano.

Hicho kisiwa hakikutakiwa kiwe nchi, lakini siyo kama waliamua wenyewe.
 
Kitendo cha kukubali wazungu watawale fikra zetu ni dhahili kwamba wanatuzidi kiakili.
 
Mkuu hongera kwa kukiri kwako na Mungu Atakubariki,record zipo,ila zimeharibiwa,ndio maana Egypt kitovu cha historia na Nigeria hasa kuhusu masula ya civilization,hawa jamaa wameharibu hizo sources either kwa vita,au kuamisha makumbusho zetu,ndo maana watu wanaamini kuwa muisraelwa kweli,ni mtu mweusi sio wayahudi coz hao ni watu wa egypt waliohama kipind cha faraoh
 
Unawezaje kuyatawala mazingira yako kama unaweza kupata muda wa kukakaa chini, kufikiri na kuandika upuuzi mrefu hivyo. Kwanini usitumie hata nusu tu muda huo kuangalia jinsi ya kuboresha maisha yako binafsi! Maisha yako hayafai na unatumia muda zaidi kuandika ili ku-justify kuwa maisha yako hayafai.
 
Kipi cha uongo hapo?
 
Mleta post ana uchungu jinsi tusivyoweza kuyatawala mazingira yetu. Maisha tunayoishi tangu kunapambazuka hadi jua linazama yana mkono wa huyo 'mzungu!'

Kwa nini hatuwezi kuendesha vitu vikubwa?!
 
Kitendo cha kukubali wazungu watawale fikra zetu ni dhahili kwamba wanatuzidi kiakili.
Na siyo kwamba Wazungu wanajali sana nani kavumbua hiki au nani kavumbua kile. Ni Waafrika tu ndio tunashikilia hili. Wao wanajali kuwa sasa hivi unafanya nini. Ndio maana Wachina au hata Wajapani hawaoni aibu kukopi teknolojia ya Mzungu, kwa sababu cha muhimu ni kama inasaidia jamii yako. Lakini sisi Waafrika hatutaki kusonga mbele kwa sababu ya kutokujiamini.
 
Hilo ndiyo tatizo la waafrika wengi na wewe ukiwemo: kujidharau na kubeza viongozi wako. Hatuendelei hadi tuongozwe na madkteta kama hawakuuawa kwa kigezo cha haki za binadamu. Naamini kuna nchi mpya na mbingu mpya najishughulisha nayo kuliko hii iliyochoka
 
Ok, rudia msokoto wako. Utakuta rafiki yako amemaliza kuvuta bangi yote.
 
Kitu kikubwa mi nalaumu ni mitaala yetu,ukisoma historia ya mwafrika anaonekana kuwa wakat mzungu anakuja mwafrika alikuwa amelala anamsubir mzungu amfundishe kuandika,kitu amabcho sio kweli,waafrika walikuwa wamekwenda mbali sana kimaendeleo,hebu angalia jinsi watu wa waliokuwa pembezoni mwa mto nile walivyoudhibit mto mafuriko yake kwa ajili ya matumiz yao,soma dawa za ki afrika zilizokuwa zinatumika kuhifadhia maiti zaid ya miez mitatu bila kuharibika,ona Dr Livingstone baada ya kufa kwake alivyo hifadhiwa na kusafirishwa kwao bila tatizo,
Wakat akina Vasco wanakuja kutafuta njia ya kwenda India,aliwakuta tayari waafrika wanafika north sea na kwendahadi nchi za asia kufanya biashara,bidhaa zilizomfanya Vasco apate na shauku ya kufuatilia hivo vitu vinatoka wapi? aliwakuta tayar waafrika wanacheza na biashara kama kawaida,na walim regard kama mfanya biashara wa kawaida kama wa asia,ndipo alipoenda kuwakomba wamisionari na hapo ndo sura ya vasco kama mkoloni ilipoanza kujionyesha,
Mpaka leo hii tunavyoongea wazungu wanakubali kuwa tiba asili kutka Afrika na Asia ndio rafiki wa afya ya binadam,sasa tumekuwa brainwashed mpaka tunaamin kunywa dawa za asili ni uchawi,magonjwa karibia 99% yanatibika kwa dawa za asili
 
Mkuu Uliza Bei sio kwamba tunajidharau ila inabidi ifike hatua tukubali tu,

Inafikia hatua unajiuliza hawa watu wanafikirije?
 
Mpaka leo hii tunavyoongea wazungu wanakubali kuwa tiba asili kutka Afrika na Asia ndio rafiki wa afya ya binadam,sasa tumekuwa brainwashed mpaka tunaamin kunywa dawa za asili ni uchawi,magonjwa karibia 99% yanatibika kwa dawa za asili
Hata dawa za hospital huwa base yake ni tiba asili, lakini jamaa kabla ya kunywa akikwambia uchinje kuku mweusi na kuzunguka mbuyu mara saba, inabidi umkimbie.
 
CC: Robot la Matope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…