African Leaders to Send Troops to Congo in 3 Months, Vision Says

African Leaders to Send Troops to Congo in 3 Months, Vision Says

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
[h=3]The Southern African Development Community (SADC) is ready to deploy a neutral military force to restore stability in the Eastern Democratic Republic of Congo (DRC) if asked to do so by the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR).[/h]
Jakaya_Kikwete_12th_AU_Summit.jpg
Tanzania’s President, Dr Jakaya Mrisho Kikwete

Speaking at the end of SADC’s Troika Summit held in Dar es Salaam on Tuesday, President Jakaya Kikwete said the regional grouping was ready to support ICGLR to bring a lasting solution to the challenges afflicting the eastern part of the mineral-rich country.
 
Without taming an arrogant Rwanda regime first - Restoration of stability in the Eastern Democratic Republic of Congo (DRC) will remain a pipe DREAM.
 
..viongozi wa siku hizo wa SADC hawana msimamo.

..DRC inahitaji jeshi la kulinda amani sasa hivi.

..hakuna haja ya kusubiri "maombi" ya ICGLR.
 
ila tu wasikutane na majeshi already multi-hardened and well equipped from the somali war,it will be a massacre for the SADC
 
ila tu wasikutane na majeshi already multi-hardened and well equipped from the somali war,it will be a massacre for the SADC

Nairoberry,

..It is going to be a peace keeping, not combat mission.

..SADC is also waiting for a formal request of ICGLR.
 
ila tu wasikutane na majeshi already multi-hardened and well equipped from the somali war,it will be a massacre for the SADC

Ha ha huwezi cheza na SADC wewe kuna nchi nne ambazo zimekuwa zikipigana vita vya msituni kwa muda mrefu, eti leo mnajisifu kwa kupigana na mgambo wa al shabaab?
 
Kampala, Uganda
9th Sept 2012

Tanzania has pledged to contribute troops to be part of the proposed regional force to fight rebel groups in eastern DR Congo, including M23. Sources, who attended the two-day closed door meeting attended by Great Lakes Countries presidents, chaired by President Museveni, indicated that Uganda said it could not send troops to DR Congo since it is already heavily involved in Somalia.


The size of the forces that Tanzania will commit to help fight the rebels in the vast mineral-rich country will be discussed next month. Tanzanian president Jakaya Kikwette, DR Congo’s Joseph Kabila, Kenya’s Vice President Kalonzo Musokya and Rwanda’s officials were in the meeting.


Earlier on Wednesday, Uganda denied reports that Congolese government officials at the Great Lakes conference in Kampala had opposed Uganda, Rwanda and Burundi to be part of the proposed regional force to fight rebel groups that have attacked the eastern DR Congo.


Sources close to the meeting said DRC is strongly opposed to the involvement of the three countries, saying the trio cannot be impartial if their troops are deployed in the restive region of DRC because of the troubled past relations between Uganda, Rwanda and DRC.

Read more source: Tanzania to commit troops to DRC*- National*|monitor.co.ug

FUNCTION OF STANDING COMMITEE
Parliament of Tanzania
Foreign Affairs , Defence and Security Committee
This committee consists of Members appointed by the Speaker.
Functions

  • To receive reports relating to Foreign Affairs and International Relations;
  • To scrutinize the executions of the Foreign Affairs Policy and render advise;
  • To follow up and deliberate on incidents, conflicts and render advise on appropriate strategy in relation to International Matters.
  • To consider and review the defence and security estimates of expenditure;
  • To consider matters related to Public Defence and National Security
  • Source: Parliament of Tanzania
Swali kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ulinzi, Usalama na Mahusiano ya Nje , Mh. Edward Lowasa na wajumbe wa kamati
1. Je, kamati ya Bunge ya Ulinzi, Usalama na Nje (UUN) imeshakaa na kuliafiki jambo hili na kupeleka taarifa Bungeni?
2. Nani atagharamia shughuli hii huko DR Congo?
3. Wananchi tupewe mrejesho (feedback) ya shughuli hii nzito ya kikanda ya nchi za Maziwa Makuu
 
kampala, uganda
9th sept 2012

tanzania has pledged to contribute troops to be part of the proposed regional force to fight rebel groups in eastern dr congo, including m23. Sources, who attended the two-day closed door meeting attended by great lakes countries presidents, chaired by president museveni, indicated that uganda said it could not send troops to dr congo since it is already heavily involved in somalia.


The size of the forces that tanzania will commit to help fight the rebels in the vast mineral-rich country will be discussed next month. Tanzanian president jakaya kikwette, dr congo’s joseph kabila, kenya’s vice president kalonzo musokya and rwanda’s officials were in the meeting.


Earlier on wednesday, uganda denied reports that congolese government officials at the great lakes conference in kampala had opposed uganda, rwanda and burundi to be part of the proposed regional force to fight rebel groups that have attacked the eastern dr congo.


Sources close to the meeting said drc is strongly opposed to the involvement of the three countries, saying the trio cannot be impartial if their troops are deployed in the restive region of drc because of the troubled past relations between uganda, rwanda and drc.

Read more source: tanzania to commit troops to drc*- national*|monitor.co.ug


swali kwa mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi, usalama na mahusiano ya nje , mh. Edward lowasa na wajumbe wa kamati
1. Je, kamati ya bunge ya ulinzi, usalama na nje (uun) imeshakaa na kuliafiki jambo hili na kupeleka taarifa bungeni?
2. Nani atagharamia shughuli hii huko dr congo?
3. Wananchi tupewe mrejesho (feedback) ya shughuli hii nzito ya kikanda ya nchi za maziwa makuu
kweli ni bora kupeleka majeshi na watu wetu wakafe kuliko kumkomalia kagame a0ondoe majeshi yake kule?
 
kweli ni bora kupeleka majeshi na watu wetu wakafe kuliko kumkomalia kagame a0ondoe majeshi yake kule?

Taratibu naona vita ingine ya Kagera inanukia hapa..! M23 wanajulikana ni askari wa Kagame....sasa itokee heavy fighting btn TZ na M23 inside DRC kama ile ya Uganda vs Rwanda kule Kisangani, then sioni ni vipi askari wetu hawatavuka mpaka kuingia Rwanda from Kagera. Inanikumbusha yale makombora yaliyosambaratisha kambi Burundi from Kigoma
 
Wanajeshi wenyewe kuogelea hawajui leo unawapeleka kupambana na maimai raia mutomboki na M23 kweli wataweza?
 
kwani na drc ipo africa mshariki? kwanini asisaidiwe na member wa community yake? Kikwete asitake kumpa legitimancy kabila ya kutawala wakati wacongo hawamtaki. Hizi ni njama tu.
 
itakuwa ni kichekesho kwa Tanzania kufanya hiyo misheni, hapo ni kutafuta kuua Askari wetu Bure tu, Huwezi kuitumia Uganda na Rwanda kutoa waasi DRC, kwani hizo nchi ndizo zinazoleta hao waasi kwa faida ya nchi zao................................. Misheni sahihi ya kuisaidia Congo ingepaswa kuwa chini ya SADC, yaani SADC ndio wangetoa Jeshi hapa namaanisha nchi kama ANgola, Zimbabwe, RSA, Bot, Zamb na Tanzania wangetengeneza jeshi moja na kwenda kumaliza kabisa fujo zile za DRC lakini kwa kuwashirikisha UGanda na Rwanda basi tutarajie yale yaliyokuwa yanatokea Mozambique kwa Askari wetu kuhujumiwa na vibaraka wa Wareno
 
itakuwa ni kichekesho kwa Tanzania kufanya hiyo misheni, hapo ni kutafuta kuua Askari wetu Bure tu, Huwezi kuitumia Uganda na Rwanda kutoa waasi DRC, kwani hizo nchi ndizo zinazoleta hao waasi kwa faida ya nchi zao................................. Misheni sahihi ya kuisaidia Congo ingepaswa kuwa chini ya SADC, yaani SADC ndio wangetoa Jeshi hapa namaanisha nchi kama ANgola, Zimbabwe, RSA, Bot, Zamb na Tanzania wangetengeneza jeshi moja na kwenda kumaliza kabisa fujo zile za DRC lakini kwa kuwashirikisha UGanda na Rwanda basi tutarajie yale yaliyokuwa yanatokea Mozambique kwa Askari wetu kuhujumiwa na vibaraka wa Wareno

unakumbuka zile vurumai za 1998-2003 DRC?waasi walikuwa wakipata sapoti ya serikali za Rwanda na Uganda mpaka SADC ilipoamua kuingilia na kuinusuru serikali ya Congo,wakati huo Mugabe akitoa sapoti kubwa mno.hakuna haja ya kupeleka majeshi kule wakati watu wanajua waasi wa Congo wanakua supported by two gvt ie Uganda and Rwanda,kwa mantiki hiyo ili kukomesha vifo mashariki ya Congo ni kuzibana serikali hizi mbili tu,hili linafahamika vyema ila sijui kwa nini wanahofia kuziwekea vikwazo vikali vya kiuchumi na mambo mengine ili kunusuru maisha ya watu yanayopotea bure.
 
Kaka Kibol, sijuhi serikali ya Tanzania hailioni hilo?................................ Waganda na WaRwanda wanapigana vita vya kimaslahi na hata Askari wao wanaokufa DRC wanakufa kwa sababu ya kujenga nchi zao, Watanzania tutaenda kufa kwa ajili ya kutafuta sifa za kimataifa, ......................... Rwanda haiwezi kukubali kuiachia East Congo... hapo ndipo uchumi wao ulipolalia, njia pekee ni kupeleka Jeshi ambalo halitahusisha Rwanda Kabisa
 
itakuwa ni kichekesho kwa Tanzania kufanya hiyo misheni, hapo ni kutafuta kuua Askari wetu Bure tu, Huwezi kuitumia Uganda na Rwanda kutoa waasi DRC, kwani hizo nchi ndizo zinazoleta hao waasi kwa faida ya nchi zao................................. Misheni sahihi ya kuisaidia Congo ingepaswa kuwa chini ya SADC, yaani SADC ndio wangetoa Jeshi hapa namaanisha nchi kama ANgola, Zimbabwe, RSA, Bot, Zamb na Tanzania wangetengeneza jeshi moja na kwenda kumaliza kabisa fujo zile za DRC lakini kwa kuwashirikisha UGanda na Rwanda basi tutarajie yale yaliyokuwa yanatokea Mozambique kwa Askari wetu kuhujumiwa na vibaraka wa Wareno

SADC wameshakubali last week ambapo pia kikwete alikutana na Joyce Banda.Ujanja tu wa kidiplomasia umelazimisha kuitisha kikao cha kampala ili Tanzania ikianza kuchapa waganda na wanyarwanda tusilaumiwe.Nakwambia tutawatimua wahuni wote
 
Kaka Kibol, sijuhi serikali ya Tanzania hailioni hilo?................................ Waganda na WaRwanda wanapigana vita vya kimaslahi na hata Askari wao wanaokufa DRC wanakufa kwa sababu ya kujenga nchi zao, Watanzania tutaenda kufa kwa ajili ya kutafuta sifa za kimataifa, ......................... Rwanda haiwezi kukubali kuiachia East Congo... hapo ndipo uchumi wao ulipolalia, njia pekee ni kupeleka Jeshi ambalo halitahusisha Rwanda Kabisa

Mchawi mpe mwanao akulelee.Hapo ndipo itajulikana kama kweli kagame na museveni ni mabeberu,tusubiri
 
unakumbuka zile vurumai za 1998-2003 DRC?waasi walikuwa wakipata sapoti ya serikali za Rwanda na Uganda mpaka SADC ilipoamua kuingilia na kuinusuru serikali ya Congo,wakati huo Mugabe akitoa sapoti kubwa mno.hakuna haja ya kupeleka majeshi kule wakati watu wanajua waasi wa Congo wanakua supported by two gvt ie Uganda and Rwanda,kwa mantiki hiyo ili kukomesha vifo mashariki ya Congo ni kuzibana serikali hizi mbili tu,hili linafahamika vyema ila sijui kwa nini wanahofia kuziwekea vikwazo vikali vya kiuchumi na mambo mengine ili kunusuru maisha ya watu yanayopotea bure.

Na unafahamu kwamba Mugabe aliahidiwa almasi ambayo ndio inaendesha Zimbabwe hadi leo?.Dawa ya Rwanda na Uganda ni Tanzania tu,kigali ni karibu kutokea bukavu na bunia watakimbia hata kabla hatujaingia mzigoni.Tukimaliza tunapeleka bili kama wamarekani walivyofanya kwa Libya
 
Mkuu Kabombe............Kuna mchangiaji mmoja hapo juu aliendika kuwa , ............... unapoingia kupigana na waasi wa Congo basi ujue umetangaza vita na Rwanda na Uganda, Kwa hiyo wakati tyupo congo bac tuwe tayari kupokea mashambulizi kutokea Uganda na Rwanda, na hiyo Vita itakuwa ngumu sana kwa Tanzania, kwani Rwanda na Uganda wao wako bize na kujiandaa na vita kila siku,
 
Back
Top Bottom