African Achievers Awards - Letter to Diamond Platinumz

African Achievers Awards - Letter to Diamond Platinumz

wa nje tu wana mthamini wa ndani roho za kutu yalio pita si ndwele u taifa kwanza mimi napiga kula kama kawa nimejitoa kwenye hizi ma team nn sijui taifa langu mbele tanzania daima
 
ukijua hii dunia ....raha sana! mi namshukuru sana anatuwakilisha vizur nje ya nch...nafurah marafik zang wanaelewa ata neno moja moja kupitia nyimbo zake....tunafaidika wengi kwa juhud za dogo....
 
View attachment 260681
jamani hii haihitaji kupigiwa kura..ndio tayari ashachaguliwa out of 1501 nominees..

Hii ni Tuzo ya Heshima so haina kupiga kura amesha chaguliwa tayari TENA kati ya watu 1502 Yeye ndo Bora zaidi.Kwa wale walio Pasuka nyongo Matumboni mwao kwa kuona ameteuliwa Hospital ziko wazi na kwa wale walio jisikia vibaya ama kichefuchefu Tapikeni tu mana malimao yame wazoea.

We fikiria kati ya watu 1502 yy kaibuka kidedea sembuse watu 5 anaoshindanishwa nao mtv? Mwachen dai aitwe dai tu. Hayo mengine ni majungu na chuki binafs za maindeleo ya chibu.
 
Hahahhaaaaaa. . .sasa cha kufanya mnyanyueni na huyo mnaemtaka ili tumpigie kula, sisi hatuna shida cha msingi awe mtanzania tu. Si sio kipaji ni akina nyie na mlimweka wenyewe muwekeni na hyo mwingne mnae mtaka Nigeria wanawasanii wawili pale wanawawakilisha. Tafsiri yake ni ubora sio lazma awe mmoja tu
 
Wait and watch atakapoanguka ndio mtajua kuwa public ndio tulimuweka halipo na hana kipaji kama ana kipaji akawashawishi wakenya waganda na wasouth wampigie kura tunambeba anatutukana.

Ngoja sasa picha linaanza.
mlishindwa nini kumnyanyua BEST NASSO naye afike level hizo?
 
Tuletee ushahidi hapa , unadhani tuko kwenye kijiwe cha kupiga umbea hapa?
Hizo ni akili za kimaskini tu kujifeel inferior, kwani kuna mtu alikutuma ukakae uchochoroni?

Very well said binti kiziwi, alete ushahidi ni wapi na lini Diamond alisema hizo tuzo ni za uchochoroni. I follow Diamond on Instagram and Facebook katika post zake aote alizotoa kuhusu tuzo hakuna mahali alisema tuzo za watu wala za KTMA zilikua za uchochoroni. The only thing he said was he was not happy with the selection of nominees and he already knew the whole process was not fair to him or some other artists he mentioned in the post including Yamoto band. Sasa ni wapi alisema yeye ni wa kimataifa na tuzo za TZ ni za uchochoroni?
Kuweni na upeo wa kufikiria na sio kufuata mkumbo and spread lies about the young man.
 
Last edited by a moderator:
Kweli kabisa na humu timu kiba hawadhubutu kuja hawana hoja barua inajionyesha wazi.

Humu hawaji, wako kwenye hizo posts nyingine wanacomment na kujijibu wenyewe. They have made themselves so happy believing that they truly punished Diamond. I wonder the what type of IQ all those people supporting anti-diamond agenda. Hawana cha msingi cha kujustify themselves other than eti "ametudharau" au "ametulambisha ndimu" really?
Yaani I cant believe there are people who actually get emotionally involved when Diamond posts about his achievements and his new love. Small minded indeed and they def need to have a life outside instagram.

They would not comment on this post because this post speaks for itself.
 
Tumuombee kijana huyu afya bora na maisha marefu.

Anatuletea heshima kubwa sana kama taifa.

Umenena kabisa. Mungu amtangulie katika bidii zake. For some of us who live outside Tanzania, we absolutely appreciate this young man for carrying our flag and putting Tanzania on the map. Now Kenyans and Nigerians to name a few recognize Tanzania for this fine man' music.
 
sikia kaka mimi nilisoma kwenye inst yake na tangu alipopost akisema msinichague tuzo za watu kwa sababu ni tuzo za vichochoroni nikaangalia nikasema sawa zitakapo kuja za barabarani utatuambia akaniblock sasa ili ajue umma wa watanzania ndio umemuweka alipo akipigwa sasahivi atashika adabu tena sana tu.................!

You are such a poor liar. Can you post a screenshot of the post you are referring to?
 
Mkuu usiseme tu binadamu sema wabongo sababu sidhani kama binadamu wenzetu wa nchi zingine wako hivi.

Uwezo mdogo wa kufikiri wa baadhi ya wabongo. Mimi nahisi most of those people wanaoendesha hii campaign ya hatred towards Diamond are probably college drop outs/or havent been anywhere near higher education just like the woman they are following.
 
Humu hawaji, wako kwenye hizo posts nyingine wanacomment na kujijibu wenyewe. They have made themselves so happy believing that they truly punished Diamond. I wonder the what type of IQ all those people supporting anti-diamond agenda. Hawana cha msingi cha kujustify themselves other than eti "ametudharau" au "ametulambisha ndimu" really?
Yaani I cant believe there are people who actually get emotionally involved when Diamond posts about his achievements and his new love. Small minded indeed and they def need to have a life outside instagram.

They would not comment on this post because this post speaks for itself.

Hahahaaa eti ametulambisha ndimu, hahaha this one kills me. Kwani wakati wanalambishwa ndimu walishikiliwa? Si wangekataa kulamba au walihisi ndimu tamu hahahaaaaa nimecheka sina mbavu. Eti alitulambisha ndimu😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom