African Achievers Awards - Letter to Diamond Platinumz

African Achievers Awards - Letter to Diamond Platinumz

yeye si anajiita wa kimataifa sasa awaambie wkenya na waganda kua sasahivi anawania tuzo za barabarani wampigie kura sisi tutapiga za vichochoroni na tumeridhika sana sana tu na tutawapigia wasanii wetu wa vichochoroni na hii kampeni itaendelea

Nitaelewa kama wewe ni wa kike. Ila kama wewe ni wa kiume, lipo tatizo.
 
sikia kaka mimi nilisoma kwenye inst yake na tangu alipopost akisema msinichague tuzo za watu kwa sababu ni tuzo za vichochoroni nikaangalia nikasema sawa zitakapo kuja za barabarani utatuambia akaniblock sasa ili ajue umma wa watanzania ndio umemuweka alipo akipigwa sasahivi atashika adabu tena sana tu.................!

Diamond hajawai zungumzia tuzo za watu popote pale acha kudanganya watu, wewe sema una yako unatafuta point ya kujustify. Tuzo alizowahi kuzizungumzia ni ktma peke yake.
 
sikia kaka mimi nilisoma kwenye inst yake na tangu alipopost akisema msinichague tuzo za watu kwa sababu ni tuzo za vichochoroni nikaangalia nikasema sawa zitakapo kuja za barabarani utatuambia akaniblock sasa ili ajue umma wa watanzania ndio umemuweka alipo akipigwa sasahivi atashika adabu tena sana tu.................!

Mkuu hapa tunakwenda kwa evidence na si kwa porojo. Chukua screenshot ya hiyo post yake iweke hapa, kisha wote kwa pamoja tuifanyie kazi hapa hapa JF, nasi tutamtafuta Diamond Platinumz na atakuomba radhi, hana makuu akikosea huomba radhi maana na yeye ni binadamu.
 
Hasira zinazotakiwa ni za kumfanya Kiba naye apate tuzo za kimataifa, huo ndio ushindani unaotakiwa. Ushindani wa kukuza muziki wetu wa Tanzania ufahamike zaidi kimataifa, na sio hawa wanaosema eti watampigia kura Davido ili Diamond akose.
Tatizo nyinyi mumeisahau hii timu wiki hii yote wimbo ni huu mpaka j'5 ndo humu jamvini kutatulia NDO MANA MIMI HUWA NINAULIZAGA KWENYE COMENTI ZANGU JE HAYA MAFANIKIO ALIYONAYO DIAMOND WAKIYAPATA TIMU CHEKETUA SI KUTAKUWA BALAA YALEYALE TUZO ZA NDANI HIVI JE WAKIPATA ZA NJE ITAKUWAJE
 
wait and watch atakapo anguka ndio mtajua kua public ndio tulimuweka halipo na hana kipaji kama ana kipaji akawashawishi wakenya waganda na wasouth wampigie kura tunambeba anatutukana.ngoja sasa picha linaanza

mmechelewa sana mkuu jamaa kashajiwekeza vya kutosha sana.
 
Kitu kingine nashangaa kwa nini wanaenda kumtukana Zari, ana makosa gani? Dada wa watu mjamzito asubuhi asubuhi wamemwamkia na matusi. Yani tuzo kuchukua kiba nilitegemea watu wajae account ya kiba kumpongeza wao wameenda kumtukana Zari dah mpaka aibu sisi waTz.
Wengine wanakwambia tunampigia Davido, kisa? Diamond kapata tuzo mbili ila ajatushukuru. Dah hatari yani unataka ushukuriwe na usiyempigia kura, siku nzima unatamba tulimpigia kura fulani then unaangaika na mwingine ndio akushukuru. As nchi tuna tatizo kubwa sana zaidi ya poor leadership.

Mkuu tatizo kuu hapa ni suala la Diamond kuachana na Wema. Hapo ndipo hizi team zilipoanza. Chuki zote hizi ni kwa sababu ya Diamond kuachana na Wema. Ndio maana Wema kamfanyia kampeni Alikiba, Jokate kamfanyia kampeni Alikiba na kitu cha ajabu zaidi hata mtalaka wa Zari, Ivan kamfanyia kampeni Alikiba. Huu uhusiano wa Zari na Diamond unawaumiza wengi sana. Wengi wamejawa na wivu wa chuki na roho za kwa nini, kisa tu Diamond na Zari kuwa pamoja kimapenzi. Na suala la mimba ndilo limewachanganya zaidi.
 
Msyuuuuuuuuu tutokee hapa na wewe, shobo mkondombwe tu, Diamond akutukane wewe anajua kama una exist? Lete tusi ulotukanwa hapa. Roho mbaya tu.
Wanigeria wamejitahidi kupenyeza mziki wao mpaka kwetu ndo maana leo hii Unapata jeuri ya kuwapigia kura, kijana wa watu anajitahidi kufungua njia nyie mmekalia kooni kama michawi vile Ione kwanza.

mkuu wa tanzania wengine sijui vipi? walitaka jamaa awagawie fedha au?
 
wait and watch atakapo anguka ndio mtajua kua public ndio tulimuweka halipo na hana kipaji kama ana kipaji akawashawishi wakenya waganda na wasouth wampigie kura tunambeba anatutukana.ngoja sasa picha linaanza

😕ulimuweka hapo alipo wewe...hahaha..ajabu ni kwamba hata hujawahi kumpigia kura...hana kipaji we unacho ninda kwa karekodi basi...hahaha mi-tanzania bhana
 
Kitu kingine nashangaa kwa nini wanaenda kumtukana Zari, ana makosa gani? Dada wa watu mjamzito asubuhi asubuhi wamemwamkia na matusi. Yani tuzo kuchukua kiba nilitegemea watu wajae account ya kiba kumpongeza wao wameenda kumtukana Zari dah mpaka aibu sisi waTz.
Wengine wanakwambia tunampigia Davido, kisa? Diamond kapata tuzo mbili ila ajatushukuru. Dah hatari yani unataka ushukuriwe na usiyempigia kura, siku nzima unatamba tulimpigia kura fulani then unaangaika na mwingine ndio akushukuru. As nchi tuna tatizo kubwa sana zaidi ya poor leadership.

Huwawezi watanzania...

Watanzania wasahaulifu sana, wanasahau kuwa the same davido aliwatukana last year wakaenda kumtukana kwenye akaunt yake ya instagram na leo hii wanampigia kura. Hizo ni shobo na kusahau haraka.

Watanzania wana roho ya kwanini, hawataki waone mtu kafika mbali. Ndo maana hadi leo utaona wanamponda mtu ambaye amefanikiwa. Wanataka waone unakula nao vumbi.

Ally Kiba ni size yao. Mwanamziki gani una kipaji halafu goigoi hivyo? Kila kitu hadi wampush na bado hana la maana analofanya...
 
Kitu kingine nashangaa kwa nini wanaenda kumtukana Zari, ana makosa gani? Dada wa watu mjamzito asubuhi asubuhi wamemwamkia na matusi. Yani tuzo kuchukua kiba nilitegemea watu wajae account ya kiba kumpongeza wao wameenda kumtukana Zari dah mpaka aibu sisi waTz.
Wengine wanakwambia tunampigia Davido, kisa? Diamond kapata tuzo mbili ila ajatushukuru. Dah hatari yani unataka ushukuriwe na usiyempigia kura, siku nzima unatamba tulimpigia kura fulani then unaangaika na mwingine ndio akushukuru. As nchi tuna tatizo kubwa sana zaidi ya poor leadership.
Mimi ninashindwa kushangaa ninapoona munawalazimisha kuelewa watu wasio na shida ya kuelewa ila hoja yao kuu NI CHUKI WALIZONAZO NA AZIJAANZA JANA NA DIAMOND SI MGENI NAO NA NINAMUAMINI HATORUDI NYUMA KAMA ALIVYOWEZA KUTORUDI NYUMA MWANZO sio wote tunachuki nae tupo tunaompenda ataendelea kusimama
 
Mimi ninashindwa kushangaa ninapoona munawalazimisha kuelewa watu wasio na shida ya kuelewa ila hoja yao kuu NI CHUKI WALIZONAZO NA AZIJAANZA JANA NA DIAMOND SI MGENI NAO NA NINAMUAMINI HATORUDI NYUMA KAMA ALIVYOWEZA KUTORUDI NYUMA MWANZO sio wote tunachuki nae tupo tunaompenda ataendelea kusimama

Mkuu nakuhakikishia diamond ataendelea kuwepo juu as long as mungu anampa uhai achana hizi porojo za msimu haka kaupepo ndo kanazidi kumuimarisha bila wenyewe bila wenyewe kujua ndo wanamjenga hawajui , diamond is very possitive guy and focused, tuendelee kuomba uzima kushuhudia mafanikio yake, ukishajenga msingi mzuri mvua ya mawe, upepo na vumbi vitapita na nyumba itabaki
 
Tatizo nyinyi mumeisahau hii timu wiki hii yote wimbo ni huu mpaka j'5 ndo humu jamvini kutatulia NDO MANA MIMI HUWA NINAULIZAGA KWENYE COMENTI ZANGU JE HAYA MAFANIKIO ALIYONAYO DIAMOND WAKIYAPATA TIMU CHEKETUA SI KUTAKUWA BALAA YALEYALE TUZO ZA NDANI HIVI JE WAKIPATA ZA NJE ITAKUWAJE

+Asante mkuu yaani mimi mwenyewe huwa najiuliza sana hilo swali aisee sijui itakuaje.

+we ona mfano mdogo wa hizi tuzo tano, yaani tuzo kapata kiba lakini umekuja utitiri kibao wa nyuzi zinazomuhusu Diamond humu.

+aisee Kiba anahitaji kua makini sana na mashabiki wa namna hii kama anawafuata atapotea.
 
+Asante mkuu yaani mimi mwenyewe huwa najiuliza sana hilo swali aisee sijui itakuaje.

+we ona mfano mdogo wa hizi tuzo tano, yaani tuzo kapata kiba lakini umekuja utitiri kibao wa nyuzi zinazomuhusu Diamond humu.

+aisee Kiba anahitaji kua makini sana na mashabiki wa namna hii kama anawafuata atapotea.

Mkuu hawa hawa ndo watamgeuka akifanikiwa na kufika level za juu utasikia mbona siku hizi hatusalimii kama zamani kapata kiburi, utasikia mbona kamuacha fulani, kwenye show hataki hata kupiga picha na sisi, binadamu ni watu wabaya hasa ukifanikiwa.
 
Mkuu hawa hawa ndo watamgeuka akifanikiwa na kufika level za juu utasikia mbona siku hizi hatusalimii kama zamani kapata kiburi, utasikia mbona kamuacha fulani, kwenye show hataki hata kupiga picha na sisi, binadamu ni watu wabaya hasa ukifanikiwa.

Mkuu usiseme tu binadamu sema wabongo sababu sidhani kama binadamu wenzetu wa nchi zingine wako hivi.
 
+Asante mkuu yaani mimi mwenyewe huwa najiuliza sana hilo swali aisee sijui itakuaje.

+we ona mfano mdogo wa hizi tuzo tano, yaani tuzo kapata kiba lakini umekuja utitiri kibao wa nyuzi zinazomuhusu Diamond humu.

+aisee Kiba anahitaji kua makini sana na mashabiki wa namna hii kama anawafuata atapotea.
Basi mkuu ukishayajua hayo hayakupi shida wanachosumbuka nacho ni chuki tu hawana hoja ukikaa kubishana nao nikukupotezea muda ila ukijisikia unatupa dongo halafu unapotea unakuwa wa kuchungulia na kutoka hii yote iishe ndo kutatulia halafu mods walivyo na makusudi leo thread zote wameziacha bila ya kuziunganisha lakini yatapita maisha yataendelea kama kwaida tu
 
Mkuu hawa hawa ndo watamgeuka akifanikiwa na kufika level za juu utasikia mbona siku hizi hatusalimii kama zamani kapata kiburi, utasikia mbona kamuacha fulani, kwenye show hataki hata kupiga picha na sisi, binadamu ni watu wabaya hasa ukifanikiwa.
Leo yenyewe badala wawepo kwa kiba wampe pongezi lakini wamejazana kwa CHIBU na ZARI kiba hawana taimu nae
 
Mkuu nakuhakikishia diamond ataendelea kuwepo juu as long as mungu anampa uhai achana hizi porojo za msimu haka kaupepo ndo kanazidi kumuimarisha bila wenyewe bila wenyewe kujua ndo wanamjenga hawajui , diamond is very possitive guy and focused, tuendelee kuomba uzima kushuhudia mafanikio yake, ukishajenga msingi mzuri mvua ya mawe, upepo na vumbi vitapita na nyumba itabaki
Hata yeye kawapa meseji hii: WANAPAMBANA NA WEWE KWA SABABU WEWE SI DHAIFU, "ILA KWA KUWA WEWE NI IMARA NDO MANA WANAPAMBANA NAWE" na siku zote watu hatuangaiki na vizaifu(kwa sababu tunavimudu) tunaangaika na vilivyoimara
 
Hongera sana Diamond

Hii inaheshima sana sana, kwa jina lako kupendekezwa ni ushindi mkubwa.

********

Kumpigia kura za MTV

Kupiga kura
Diamond Platnumz kategori 3 (tatu) - Best MALE, Best COLLABORATION na Best LIVE and Vanessa 1(moja) -- Best FEMALE

ingia kwa link hii chini

http://mama.mtv.com/voting/


Bonyeza bonyeza VOTE usichoke

******************
 
Back
Top Bottom