Nawapongeza police wa equator wanatumia akili nyingi sana sio hawa wakwetu nadhani wanatumia makalio.
mkuu tz polisi wangepiga hadi marefa na washika kamera! Lazima wangeua mtu kwa spana.
Nawapongeza police wa equator wanatumia akili nyingi sana sio hawa wakwetu nadhani wanatumia makalio.
Brasil walipigwa saba,mbona hawakufanya fujo?asiyekubali kushindwa si mshindani,kwani hawajui kuwa mechi ya leo ilikuwa timu moja lazima ishindwe?
Miafrika ni mipumbavu by Nyani Ngabu
Africa Africa tu ndio maana wazungu wanatudhalau kila siku
Acha kufagilia wazungu, nani kakwambia hawafanyi fujo? Mashabiki wa Atletico Madrid ya Spain juzi mwezi janury wameua mtu.
Upo sahihi mkuu, lakini kwa tukio hili lazima waafrika tukubali kuwa wenzetu wametutia aibu. Wala hapakuwa na sababu ya wale mashabiki kujazana uwanjani na kutia fujo ni aibu sana kwa jamii ya wapenda mpira kote duniani.
Acha paranoia mkuu. Sasa wametutia aibu kivipi? Zile fujo hazina uhusiano wowote na uafrika au rangi nyeusi. Kwa taarifa yako mashabiki wa Borrusia Dortmund wamefanya fujo jama uwanjani kwasababu wamepigwa bao moja. Sasa mashabiki wa Dortmund ni waafrika?
Acha paranoia mkuu. Sasa wametutia aibu kivipi? Zile fujo hazina uhusiano wowote na uafrika au rangi nyeusi. Kwa taarifa yako mashabiki wa Borrusia Dortmund wamefanya fujo jama uwanjani kwasababu wamepigwa bao moja. Sasa mashabiki wa Dortmund ni waafrika?
Mkuu ni kweli kabisa Dortmund wamefanya fujo mpaka Hummels kaenda watuliza..na tujiulize pia kwann viwanja vya wenzetu wameweka wavu mkubwa wakuzuia mashabik, je kama wao wastaraabu sana si wangeacha tu viwanja open bila kuweka wavu wa kukinga mashabik.
ulaya fujo nyingi sana sema tu sisi tunaangalia EPL ndo maaana.
Fatilia Derby kama ya Lazio na Roma utaona ushenzi wao.
Mkuu ni kweli kabisa Dortmund wamefanya fujo mpaka Hummels kaenda watuliza..na tujiulize pia kwann viwanja vya wenzetu wameweka wavu mkubwa wakuzuia mashabik, je kama wao wastaraabu sana si wangeacha tu viwanja open bila kuweka wavu wa kukinga mashabik.
ulaya fujo nyingi sana sema tu sisi tunaangalia EPL ndo maaana.
Fatilia Derby kama ya Lazio na Roma utaona ushenzi wao.