Haya leo ni leo. Kura yako unaipeleka wapi. Ivory Coast vs Ghana. IC mpira wao ni wa nguvu na mipango mingi huku wakienda golini kwa mipango zaidi na taratibu wakati Ghana wao ni speed na wachezaji wengi ni flexible wenye vipaji kwa sana.
Leo kwangu kura inaenda kwa Ghana maana Ivory Coast inapokutana na wachezaji wa caliber ya wa Ghana hupata tabu sana.
Tusubiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.