Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Mbona naona ni dakika 3 tu ndo zimeongezwa wakati game ilisimama tangu dakika ya 82 kama sikosei!
Halafu game kwishney.
 
ndio kuna polisi wamevaa nguo za kutuliza ghasia na ngao kabisa! Ila hakuna wanachofanya! FFU TZ HELP!

police wao wanatumia akili nyingi kuliko nguvu kubwa kama wanavyofanya police wa tz.
 
Mpira umekwisha EQ wasubiri adhabu yao kutoka caf kiukweli washabiki wao wametia aibu sana
 
Mashabiki wa Guinea ikweta waliamini wataifunga Ghana?kwa mpira upi sasa
 
_80820388_riotpolice_waterbottles.jpg
 
Brasil walipigwa saba,mbona hawakufanya fujo?asiyekubali kushindwa si mshindani,kwani hawajui kuwa mechi ya leo ilikuwa timu moja lazima ishindwe?

Kweli aisee, hata Yanga walimeza 5-0 lakini mechi ikaisha salama salimini
 
Hata mtangazaji kasema "this is the problem of Africa"

Sikufurahia Kitendo cha mashabiki kuharibu mechi, lakini kitendo hiki kukihalalisha kuwa ni tabia za waafrika hicho ndo sikikubali hata kidogo. Waizrael walipouawa Munich Ujerumani au hata mashabiki wa Liverpool walipouawa kwenye mechI ya klabu bingwa ulaya waafrika ndiyo walishiriki matukio hayo? Waache upuuzi hao watangazaji. Haya ni matatizo ya mashabiki wachache wapuuzi wa mpira wa mguu na michezo mingine.
 
Nawapongeza police wa equator wanatumia akili nyingi sana sio hawa wakwetu nadhani wanatumia makalio.
 
kumbe!
Sijui kwa nini rangi nyekundu wanapenda sana kung'oa vitu uwanjani?
Cc Simba, @EQG
Hawa EQG wanatakiwa wawe wavumilivu kama washabiki wa Yanga, maana 06/05/2012 walifungwa goli tano bila lakini hawakurusha chupa hata moja au hawakuwa nazo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom