makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,343
- 3,622
haya marangi mengine ni hatari sana
Last edited by a moderator:
Sipati picha jambo kama hili lingetokea bongo na hawa polisi wetu sijui ingekuwaje!!?
Kisheria ni kwamba mpira ukisimama kwa dakika 15 refa ana uamuzi wa kusitisha mechi na mechi ikarudiwa au ukafanyika utaratibu mwingine ufanyike. Ila hawa mashabiki ni wajinga na wasidhani kama refa/fifa ataamua hii mechi irudiwe.
kwani hapo si kuna ulinzi?kwa nini hawajaogopa mapolisi?hata raisi wao wanatakiwa wasimwogope as far as anaiba mali za ummaSi umeshasema kuwa rais dictator!! Anaweza ua raia wake wote tena kwa hao 600000 tu mbona dakika tu anaweza kumaliza wote?
Hawa jamaa zaidi ya 90% ni wakatoliki sasa sijui ukorofi wametoa wapi?
Africa tutaendelea kudharaulika!
kwani hapo si kuna ulinzi?kwa nini hawajaogopa mapolisi?hata raisi wao wanatakiwa wasimwogope as far as anaiba mali za umma
Africa tutaendelea kudharaulika!