Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Nini uamuzi wa mwisho hapo?
Game kuendelea ama kususia mpaka kesho?
Namwona Avram Grant akihaha kujua hatma ya mchezo huu.
 
Hivi hawa mashabiki wa Guinea ya Ikweta kwa akili yao walijua wana uwezo wa kuifunga Ghana.
 
Kama hali itakuwa hivi:
tutegemee machafuko zaidi kuanzia kesho mpaka siku ya final, nadhani fans wa EQG hawaani kama wametolewa kwenye mashindano.
Mbona huko nje nako naona picha ya dude gani sijui linapita angani mpaka waamuzi na wachezaji nao wameingiwa na hofu tena.
 
Naona vyupa vinarushwa tu too sad

Ingawa ni kweli Ghana wanastahili kwenda fainali, lakini mwamuzi anastahili lawama zote kwa hayo yanayotokea. Maamuzi yake ya kipindi cha kwanza na kwa timu changa kama EQ.G, ni dhahiri ilionekana kana kwamba anataka kufuta dhana ya mbeleko, lakini maamuzi mengi yalikuwa ya kukera kwa wenyeji.Kama kuuma angekuwa anauma na kupuliza kimtindo mtindo, si ndiyo mambo yetu ya uzalendo kwa Afrika.

Matokeo ya mbili kipindi cha kwanza, hayakuonesha taswira ya mpira ilivyokuwa, Wazee wa Mbeleko walikaza buti kisawasawa.
 
Hii mechi tangia mwanzo haikuwa na dalili njema
 
Kuna kila dalili ya mambo kunuka hapo.
Hebu tuone yatakayojiri ila naona wachezaji wa ghana wako katika hali ya utulivu sana ila mashabiki wa EQG wanaendelea kurusha chupa, wanang'oa viti na kurusha uwanjani kama mashabiki wa simba vile!
 
Teh Teh jamaa wabishi wakubali kushindwa! Lazima wafungiwe.
 
yaani ingekuwa bongo basi saa hizi uwanja ungekuwa umejaa moshi tu vijana wa ERNEST MANGU wangekuwa wamekichafua zamani!
 
Sipati picha jambo kama hili lingetokea bongo na hawa polisi wetu sijui ingekuwaje!!?
 
Back
Top Bottom