Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Hii mechi wanaweza kuja kupigana au refa kupigwa inavyoelekea
 
Ghana 1-0 E. Guinea, goli limewekwa kambani J. Ayew kwa mkwaju wa penati.
 
M. Wakaso anaweka tena chuma la pili. Ghana 2-0 E.Guinea
 
Hii mechi wanaweza kuja kupigana au refa kupigwa inavyoelekea

Hawa wazee wa mbeleko wanajifanya wababe sana, nadhani walijua na leo watabebwa tena, acha wapigwe mengi leo maana wamepitia mlango wa nyuma wakati wenzao wanapitia mlango wa mbele.
 
Wanatabia za Spain maana ndio watawala wao. Kubebwa kaa Barca
 
Hawa vijukuu wa Kwame Nkrumah waongeze matatu tena kipindi cha pili ziwe 5-0 ili hawa mbeleko mbeleko watoke kwa aibu.
 
mmmh na wewe homework siku hizi? ghana wanaongoza 2-0 halft time
homework za wadogo zako,zege hailali si unajua tena,ila ndo tumemaliza.walale niangalie kipindi cha pili.Ghana ni noma final hope itakuwa black star na the oranges.
 
Wanatabia za Spain maana ndio watawala wao. Kubebwa kaa Barca

Hizi nchi zilizotawaliwa na waspain na wajerumani yaan ni laana tupu!!! Jamaa walitoka na rasilimali zetu pamoja na vipaji vyetu!!!!?
 
Duuh!
Hi channel ya CRTV kwangu inakata kata sana sijui huko kwenu wadau?
 
Back
Top Bottom