Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Huyu dogo wa ghana. Appiah anayevaa jezi no 2 anajua sana
 
Sipati picha baba yao kina Ayew anavyotoa chozi la furaha kuwaona wanae wanavyolisakata kabumbu,Abeid pele kwa kweli bravo!
 
Mashabiki wa E. Guinea hawataki kufungwa wanaandamana hapa hahaaaa
 
Afrika bwana!! sasa sijui hizi vurugu zinaanzia wapi!? game limesimama na haijulikani nn kinaendelea.
 
Hv hao policia wanashindwa kuwatoa mashabiki?
 
Last edited by a moderator:
mashabiki wa ghana ndiyo wako uwanjani baada ya kukimbia kulushiwa mawe, chupa nk
 
Mashabiki wa EQG wanataka game hii ihairishwe wapate ushindi wa mezani ili waende final.
 
Waafrica bwana,ndo wanataka fanya nini sasa tena,wagombane,kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom