Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Kuna juhudi yoyote unafanya kubadilisha hii hali ili na sisi tucheze mpira na kufanikiwa?
kufanikiwa kwa timu ya taifa kuanzia kwenye vilabu maana ndiyo vinakuwa na wachezaji muda mrefu kwenye msimu wa ligi.
 
game ya leo napenda DRC achapwe ili tuwe na fainali nzuri...

natumai Ghana naye atapita game yake na E.G
 
Kukosa Uzoefu kunawagharimu! Wamekosa nafasi kadhaa za kufunga, Ivory wanazitumia zao!! Ila ni goli la kizembe wamefungwa hapo!
Nikweli pale nyuma ni kama hawajiamini na pasi wanazopiga
 
yeyote anayeangalia online naomba anisaidie
 
Drc na Eq. G siyo timu?
Hapa naona Drc anapiga game vizuri tu

Hii hatua ni mtoano sio wakati wa kupiga game nzuri...

Ivory Coast anacheza kutafuta matokeo na tayari kashayapata...
 
Hii hatua ni mtoano sio wakati wa kupiga game nzuri...

Ivory Coast anacheza kutafuta matokeo na tayari kashayapata...

Sasa kama ni mtoano hata final si mtoano pia? Utategemea game gani nzuri?
 
DRC wamekutana na kina kirefu leo...
 
Back
Top Bottom