Nakuelewa sana ila sidhani kama tutaona game nzuri zaidi ya woga na kukamiana.
Unakumbuka game ya ivory coast na zambia walivyokutana final?
ilikuwa game nzuri sana lkn hawa wacheza ulaya sitegemei game ya ushindani wa kweli zaidi ya mabobish
Tunaomba yasitokee kama ya robo fainali kama picha hapo chini. Tunisia walipewa nafasi ya kuoba radhi kwa utovu wa nidhamu lakini wamegangamala na hivyo wamefungiwa kushiriki fainali za AFCON 2017.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.