Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

10426148_764058970353695_3661125157213711385_n.jpg
 
Guinea waliqualify vipi Na huu mpira wao?
Ahh wenzako hata kwenye extra time mpaa wapewe penalty za maajabu ajaabu, na ni referie tu ndio anaona kama kuna penalty. kama umewafunga referie hamalizi match, mpaa Guinea wakomboe goli kwa penalty. Africa haita endelea kimpira kama tuna mareferier kama hawa, team ya mana inatolewa kwa makosa ya referies.
 
Misri ni baba wa kila kitu kwa afrika kihistoria hadi nchi zinazojiita muunangano wa kiarabu, kisoka kuanzia vilabu hadi taifa na hata kihistoria na kiustaarabu

Wamisri hawa ni waarabu na ni wavamizi wa Africa Walivamia misri 639 AD. kwahiyo soma historia kwanza kabla ya kudanganya.waarabu hawakuleta civilisation Africa, waliikuta wakacopy.
 
Wamisri hawa ni waarabu na ni wavamizi wa Africa Walivamia misri 639 AD. kwahiyo soma historia kwanza kabla ya kudanganya.waarabu hawakuleta civilisation Africa, waliikuta wakacopy.
s
amahani kaka mimi sio mwanahistoria ila nafuata ktk maandiko za dini 3 za wafuasi wa Abraham(Kristu,Kiislamu na Kiyahudi)6ki kwenda mbali,na kijiografia najua wapo bara la afrika,samahani sina muda wa kulumbana siwezi malumbano,mchana mwema nakutakia.
 
s
amahani kaka mimi sio mwanahistoria ila nafuata ktk maandiko za dini 3 za wafuasi wa Abraham(Kristu,Kiislamu na Kiyahudi)6ki kwenda mbali,na kijiografia najua wapo bara la afrika,samahani sina muda wa kulumbana siwezi malumbano,mchana mwema nakutakia.

Nachotaka kukwambia ninkwamba usigeuze mafanikio ya waafrika(wamisri) wa zamani kuwa ni ya waarabu.
 
Mimi shabiki wa kibinda nkoi bana DRC ...hatariiii ...
 
Lazima wa TZ tuskie aibu wakuu, DR Congo, wana vita, njaa, uongozi mbovu na nini, lakini ebu angalia!

TFF na Wizara ya Michezo mpo?!
 
Leo game ngum sana coz congo nao si haba wana bolasie jamaa wa crystal palace pia wana mbokani mshambuliaji hatari ambaye ashakua mfungaji bora mwaka juzi pale ligi ya belgium
 
Haya bado dk saba tu mpira uanze,sijui leo kati ya coupe decale na Ndombolo sijui nani atasonga
 
Taifa stars sijui watafika lini huku.
 
Back
Top Bottom