jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 11,022
- 10,693
tupo pamoja na wenzetu wa koyimbiko
Na wakijitahidi MEANDU, mbona wanashinda, IV Coast hawachezi kama timu, game nzuri, ikibinda nkoyi au sio..
tupo pamoja na wenzetu wa koyimbiko
mama dunia, kuna kipindi ulikuwa unaripoti kutoka Kigali siku Simba ilikuwa inacheza na Kiyovu, ni wewe au nimechanganya majina?Moja moja..afadhali looh
Umeona hiyo piga nikupige, lazima mkae na mi father yenu hii.
Na wakijitahidi MEANDU, mbona wanashinda, IV Coast hawachezi kama timu, game nzuri, ikibinda nkoyi au sio..
Yaani hawa wenzetu wanapigana kila kukicha lakini wanafanikiwa . sisi tunaweza nini maana huwa sijui
Taifa stars sijui watafika lini huku.
2weni wazalendo jamani...zairwa kwasana!!
huko mbali,sipati picha kina FM academia,christian bella,leo ni tres bien tuPenalty nzuri sana iliyopimwa. Kinshasa na Lumbumbashi kutakuwa kunawaka mioto.
Kungekuwa na timu ya north africa ,hapo ningechagua upande,ila leo wote wangu tuChagua timu Banacongo jirani yako.
Yap, game sio mbaya, tunai enjoyhili nalo neno. " Fingers crossed"
uzalendo ni kuwa neutral...wote wachezao ni waafrika
Kungekuwa na timu ya north africa ,hapo ningechagua upande,ila leo wote wangu tu